Kama mbunge analipwa mshahara kama watumishi wengine kwanini mbunge akistaafu anapewa pesa zote huku watumishi wengine ni 33%?

40 bado kuna watu wanaanza kaz wakiwa na miaka 35 hawa wakistaafu 40 si watakuwa na vihela vidogo

Ukiona ajira yenye huitaji wa umri huo ujue ni nafasi kubwa na yenye mshahara mkubwa hvyo akistaafu na miaka 50 atakuwa ametumikia miaka 15

kuanzia miaka 50 hadi 70 mfanyakazi awe anafanya kazi kwa mikataba ya miaka 2 au 3
 
Ukiona ajira yenye huitaji wa umri huo ujue ni nafasi kubwa na yenye mshahara mkubwa hvyo akistaafu na miaka 50 atakuwa ametumikia miaka 15

kuanzia miaka 50 hadi 70 mfanyakazi awe anafanya kazi kwa mikataba ya miaka 2 au 3
Watakubali hawa waliopo kwa dola..? Maana wapo above 60+ ila wana wekana tu kwa system
 
Kujipanga ukiwa kazini, kiuhalisia haiwezekani hasa kwa mfanyakazi mwenye uadilifu. Mshahara na kipato halali ni kidogo kiadi kuwa huwezi ukafanya uwekezaji wenye tija. Ujanja ujanja, upigaji na wizi wa aina mbalimbali ndio pekee unaweza kumfanya mfanyakazi afanye uwekezaji wa aina fulani.
 
Primary and hidden goal ya mifuko ni kumnyonya mfanyakazi kwa kisingizio cha kumjali. Wabunge wanalijua hilo, wanachukua mzigo wa maana huku wakitetewa na sisi wenyewe kuwa wao ni watunga sheria. Vyama vya wafanyakazi vinahitaji kuamka na kuamsha wafanyakazi.
 
Vyama vya wafanyakazi viongozi wake wanaingia kwa rushwa na wako upande wa serikali. Wao kupinga japo hata kutetea wenzao hawawezi
 
Mbunge sio mtumishi wa umma kwa muujibu wa public service act
 
Basi sheria ibadilishwe, wafanyakazi wasiitwe watumishi wa umma,🤣🤣🤣.
Watu wanapiga hela na kula mema ya nchi kwa kusingizia kuwa si watumishi wa umma?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…