stonecutter
JF-Expert Member
- Jun 12, 2022
- 1,724
- 2,584
Tunawakumbusha hilo kila wakati, bahati mbaya ni wepesi wa kusahau.Hizo silaha za maangamizi ni Russia tu ndio anazo na kama ni hivyo mbona angeishamaliza hivi vita kitambo sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunawakumbusha hilo kila wakati, bahati mbaya ni wepesi wa kusahau.Hizo silaha za maangamizi ni Russia tu ndio anazo na kama ni hivyo mbona angeishamaliza hivi vita kitambo sana.
Swala sio aina ya silaha, swala ni wapi zitatumika...Odessa kapokea kipigo mpaka Mayor wao anasema hajawahi kuona....Ile Kiev pale..itakuwa majivu...ikulu ya Zelensky na maeneo mengine....Ukraine akitumie terrorist methods Russia naye akijibu Ukraine ataumia...
Last week kuna kimgahawa kiliguswa tu..chini..kelele kote duniani..sasa subiri Kiev city centre iguswe ndo mtajua collateral damage iko kwa nani..Urusi au Ukraine..
komboeni basi maeneo aliyoteka.
Ushabiki wa kitoto simba na yanga huu ktk damu za watu.komboeni basi maeneo aliyoteka.
Kwenye silaha za mass destruction warusi huwa wanaitaja nuclear kuficha silaha hizo nyingine lakini ni Taifa hatari sana. Hana sababu ya kutumia nuclear kwa sababu zinajulikana na zinaonekana, atatumia zile za siri kabisa Kama za kutengeneza matetemeko. Ukraine inapigwa na tetemeko moja zito mchezo unaisha hapo.Nuclear??
Silaha zote zimeshatumika Ukraine kasoro nuclear tu.
Hawana sababu ya kutumia silaha hatari kwa nchi ndogo Kama Ukraine ila siku zikitumika, zitaanza kutumika Uingereza au UjerumanTunawakumbusha hilo kila wakati, bahati mbaya ni wepesi wa kusahau.
Urusi ishapasuliwa mpaka bomba lake la gas na bado akaufyata mkia.Wakifanya hivyo hii operasheni inamalizika kesho tu maana Urusi atatumia silaha za maangamizi kujibu mapigo. Tusiombee ifike huko maana majibu ya wakati ni mabaya sana
Teh teh teh yale yale ya Hypersonic Missile,sasa hivi humsikii Putin akiongelea tena hayo makopoKwenye silaha za mass destruction warusi huwa wanaitaja nuclear kuficha silaha hizo nyingine lakini ni Taifa hatari sana. Hana sababu ya kutumia nuclear kwa sababu zinajulikana na zinaonekana, atatumia zile za siri kabisa Kama za kutengeneza matetemeko. Ukraine inapigwa na tetemeko moja zito mchezo unaisha hapo.
Mkuu embu pata utulivu uandike kwa kutulia.Swala sio aina ya silaha, swala ni wapi zitatumika...Odessa kapokea kipigo mpaka Mayor wao anasema hajawahi kuona....Ile Kiev pale..itakuwa majivu...ikulu ya Zelensky na maeneo mengine....Ukraine akitumie terrorist methods Russia naye akijibu Ukraine ataumia...
Last week kuna kimgahawa kiliguswa tu..chini..kelele kote duniani..sasa subiri Kiev city centre iguswe ndo mtajua collateral damage iko kwa nani..Urusi au Ukraine..
Ahsante.Ukimwaga mboga namwaga ugali
[emoji298]From July 21, 2023, all ships on the Black Sea heading to Russian ports and Ukrainian ports temporarily occupied by Russia could be considered by Ukraine as potential carriers of military equipment with all the relevant risks, the Ukrainian Defense Ministry has said.[emoji298]
Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
Kuwa na meli na nyambizi ndio nini mkuu, mbona ile Moskva meli kubwa kabisa ya kivita ya Russia ilizamishwa kirahisi.Ukiangalia ramani utaelewa halafu kumbuka Russia ana melivita na nyambizi za kutosha hapo black sea
Tatizo unadanganywa na western medias una habari kuwa ilishatengenezwa na ipo mzigoni? Tumia Google kupata habari sio kuangalia pornKuwa na meli na nyambizi ndio nini mkuu, mbona ile Moskva meli kubwa kabisa ya kivita ya Russia ilizamishwa kirahisi.
Ukraine alishapokea msaada mkubwa wa Anti ships kutoka magharibu, tegemea mnyukano wa nguvu hapo.
Putin ni kafir kwao, sijui imekuaje wanamshabikia Kafir. Sipati picha Putin angekuwa ndo ayatolah.Mimi nilitegemea aiparamie Ukraine kwa wiki moja, kapeleka limsafara likapigwa na wabeba javelin, ni miaka miwili sasa amejaribu kila mbinu kainchi kadogo kamemlemaza, hehehe yaani mlichagua kuabudu mtume Putin kawaangusha sana nyie watu.
Unaongea as if mambo ni rahisi hivyo, hakuna amiri jeshi anayefurahia kupoteza askari wake vitani. Hayupo huyo amiri jeshi, lakini sasa unapoona putini anapoteza maelfu na hachukua uamuz mgumu usione kwamba amependa, kuna angle amebanwa.Kwenye silaha za mass destruction warusi huwa wanaitaja nuclear kuficha silaha hizo nyingine lakini ni Taifa hatari sana. Hana sababu ya kutumia nuclear kwa sababu zinajulikana na zinaonekana, atatumia zile za siri kabisa Kama za kutengeneza matetemeko. Ukraine inapigwa na tetemeko moja zito mchezo unaisha hapo.
Naona watu mnaichukulia simple sana UK. Kabla UK haijaguswa huenda kukawa na kilio kizito hapo Russia.Hawana sababu ya kutumia silaha hatari kwa nchi ndogo Kama Ukraine ila siku zikitumika, zitaanza kutumika Uingereza au Ujeruman
Hypersonic zilivuma saana humu ndani mkuu, siku hizi zipo kimya.Teh teh teh yale yale ya Hypersonic Missile,sasa hivi humsikii Putin akiongelea tena hayo makopo
Tangu zitunguliwe na silaha za zamani za Marekani hapo Ukraine, sijasikia tena Putin akizisifia.Hypersonic zilivuma saana humu ndani mkuu, siku hizi zipo kimya.
Ni kweli mkuu ila watakupinga. Toka mifumo ya ulinzi ya magharibi ifike, neno hypersonic limekata vinywani mwao.Tangu zitunguliwe na silaha za zamani za Marekani hapo Ukraine, sijasikia tena Putin akizisifia.