Kama mbwai iwe mbwai: Ukraine kupiga mabomu meli zinazopeleka mizigo Urusi

Kama mbwai iwe mbwai: Ukraine kupiga mabomu meli zinazopeleka mizigo Urusi

Hii vita itaisha karibuni tu
Ngoja ukraine ajichangaye ale kipondo kizuri..
 
no go zone imeshawekwa pamoja na Katibu Wa UN kuandika barua kuomba kwa Putin

Ukraine anajitutumua tu yaani bandari yako unapewa utaratibu ama utumie au usitumie na wanavyodai watashambulia meli za Russia mbona mwanzo hawakufanya hivyo
Marekani alituambia dunia anakwenda Iraq.bila kibari
cha UN pekee yake anayetaka kumfuata amfuate Iraq wakaibuka UK kumsapoti why now asitamke hivyo
Wanafanya wanavyoona wao inafaa, sivyo unavyoona wewe ambaye umeshindwa kuleta mabadiliko yoyote ya msingi kwenye taifa lako la maombaomba.
 
komboeni basi maeneo aliyoteka.
Mkuu sasa kama jeshi la Ukrean linashambulia Cremea bado tu hujajua kama urusi ni maji ya shingo? kabla Crimea ilikuwa haigusiki na putin alionya sana kushambuliwa Crimea na akasema kushambulia Crimea ni kushambulia urusi leo unajionea mwenyewe kambi za zinapigwa kiberiti putin hana la kufanya
 
Tatizo unadanganywa na western medias una habari kuwa ilishatengenezwa na ipo mzigoni? Tumia Google kupata habari sio kuangalia porn
Haijatengenezwa wewe mcheza porno ( Porn Star )
 
Back
Top Bottom