🤔🤔Mkuu code za siasa sielewi kitu. Hivi io TISS NI NINIila ni sawa Diwani kutoka TISS ukashinde ikulu unasubiri chai itaiva saangapi
Na anafanya through Instagram muda sasaBado ana nafasi ya kufanya hayo akitoka uarabuni
Hv unalijua vzr soko la cr7 ww!?Ni sawa ila akitoka hapo anakuwa nani wakati kapoteza soko.
Anakua ameshapiga hela za mwisho mwisho.Ni sawa ila akitoka hapo anakuwa nani wakati kapoteza soko.
Wewe siyo Ronaldo na wala hutakuja kuwaRiziki ni mafungu saba ila katika saba umebakisha moja umalize fungu lako.
Ukiona umepata mafanikio makubwa tambua huko mbeleni kuna misukosuko isiyonatija.
CR7 anaamini bado ni mzuri kwenye mpira na waarabu wamemchukua sio kwa ajili ya mpira kama sanamu lao la matangazo.
Ila huyu mwamba angefanya kama bekham naona ingemsaidia sana sababu ana uwezo wa kuwa mwanamitindo na matangazo tu.
Au kufanya biashara yenye brand yake.Mpira kwa sasa basi kwake.
Na hapa ndio tutamsahau
Utanionaje by Billnass ft RayvanNi sawa ila akitoka hapo anakuwa nani wakati kapoteza soko.
Utanionaje by Billnass ft Rayvan. Anayekutukana yupo Tandale. Wachawi Ronaldo yupo Uarabuni anacheza mpiraKWISHA KAZI YAKE
Mambo ya mitindo anafanya tangu akiwa man u na ana brand yake ya cr7 inaproduce viatu, nguo, miwani, manukato n.kRiziki ni mafungu saba ila katika saba umebakisha moja umalize fungu lako.
Ukiona umepata mafanikio makubwa tambua huko mbeleni kuna misukosuko isiyonatija.
CR7 anaamini bado ni mzuri kwenye mpira na waarabu wamemchukua sio kwa ajili ya mpira kama sanamu lao la matangazo.
Ila huyu mwamba angefanya kama bekham naona ingemsaidia sana sababu ana uwezo wa kuwa mwanamitindo na matangazo tu.
Au kufanya biashara yenye brand yake.Mpira kwa sasa basi kwake.
Na hapa ndio tutamsahau