Kama mimi ningekuwa Christiano Ronaldo ningefanya kulinda heshima yangu

Kama mimi ningekuwa Christiano Ronaldo ningefanya kulinda heshima yangu

Ronaldo legacy yake haiwezi kupotea kizembe. Anachofanya Ronaldo ni watoto wengi waliotoka familia za maisha ya chini wangefanya.

Ile offer ni nzuri sana kuzidi status ambayo angeipata akishinda makombe kadhaa kwa muda uliobaki. Tayari kashinda kila kitu, Ronaldo ametengeneza generational wealth, ameweka income streams ambazo hata siku moja akikaa chini atasema 'nimetimiza lililonileta duniani kwa ajili yangu na kizazi changu.'

The Ronaldos hawatalia shida tena kwasababu mtu mmoja tu katika ukoo wao ameweza kuvunja chain ya umasikini. Si unaona leo hii kuna brands kubwa kama Gucci, Dior ni vizazi vinafaidi na ndiyo itakavyokuwa kwa brand ya CR7.
Na ana mpango wa kupanua hotel yake Pestana CR7

Hicho kibunda anacholipwa sasa si mchezo,money is beautiful
 
Astaafu aache pesa? Pesa ndo heshima yenyewe. Ingekuwa kasajiliwa kwa pesa za kijinga hapo ungekuwa sawa.
 
Ronaldo legacy yake haiwezi kupotea kizembe. Anachofanya Ronaldo ni watoto wengi waliotoka familia za maisha ya chini wangefanya.

Ile offer ni nzuri sana kuzidi status ambayo angeipata akishinda makombe kadhaa kwa muda uliobaki. Tayari kashinda kila kitu, Ronaldo ametengeneza generational wealth, ameweka income streams ambazo hata siku moja akikaa chini atasema 'nimetimiza lililonileta duniani kwa ajili yangu na kizazi changu.'

The Ronaldos hawatalia shida tena kwasababu mtu mmoja tu katika ukoo wao ameweza kuvunja chain ya umasikini. Si unaona leo hii kuna brands kubwa kama Gucci, Dior ni vizazi vinafaidi na ndiyo itakavyokuwa kwa brand ya CR7.
Hata wedi kapu anayo
 
Riziki ni mafungu saba ila katika saba umebakisha moja umalize fungu lako.

Ukiona umepata mafanikio makubwa tambua huko mbeleni kuna misukosuko isiyonatija. CR7 anaamini bado ni mzuri kwenye mpira na Waarabu wamemchukua sio kwa ajili ya mpira kama sanamu lao la matangazo.

Ila huyu mwamba angefanya kama Bekham naona ingemsaidia sana sababu ana uwezo wa kuwa mwanamitindo na matangazo tu.

Au kufanya biashara yenye brand yake. Mpira kwa sasa basi kwake.

Na hapa ndio tutamsahau.
Hata hilo sanamu la matangazo maadamu mshiko unaingia hakuna shida
 
Hamna Heshima iliyovunjika yeye kwenda kuchota mihela kwa masheikh.

Na tafsiri yake ni kwamba wewe huwezi kuwa Ronaldo.
 
Riziki ni mafungu saba ila katika saba umebakisha moja umalize fungu lako.

Ukiona umepata mafanikio makubwa tambua huko mbeleni kuna misukosuko isiyonatija. CR7 anaamini bado ni mzuri kwenye mpira na Waarabu wamemchukua sio kwa ajili ya mpira kama sanamu lao la matangazo.

Ila huyu mwamba angefanya kama Bekham naona ingemsaidia sana sababu ana uwezo wa kuwa mwanamitindo na matangazo tu.

Au kufanya biashara yenye brand yake. Mpira kwa sasa basi kwake.

Na hapa ndio tutamsahau.
Unajua analipwa sh ngapi kwa mwezi. Hiyo heshima inamsaidia nini hajakaa uchi kaenda kwa waarabu. Acha babu astaafu na pesa yake
 
W
Ni sawa ila akitoka hapo anakuwa nani wakati kapoteza soko.

We bado hulijui soko la Cr7 lilivyo na nguvu, hapo kinachobadilika ni focus ya kibiashara huko Saudia,, waarabu wanapesa vibaya sana

Preseason za Vilabu vingi vikubwa ulaya hupenda kwenda barani Asia ili kutanua wigo wa masoko yao

Waarabu ndio kiini cha Man City kutawala Epl, na sasa wanaindea Newcastle utd

Cr7 kaangalia mpunga atakaokunja huko Al Nasr kuanzia angle ya mshahara, bonuses mpaka matangazo huko ktk nchi husika

Pesa haina kikomo cha kutafuta, ndio maana matajiri kina Bakhressa kila leo wanazidi kuongeza wigo wa biashara ilhali sisi maskini account ikisoma tumilioni kadhaa tunaanza kutembea kwa kutanua makwapa kama tuna majipu vile 😀
 
W

We bado hulijui soko la Cr7 lilivyo na nguvu, hapo kinachobadilika ni focus ya kibiashara huko Saudia,, waarabu wanapesa vibaya sana

Preseason za Vilabu vingi vikubwa ulaya hupenda kwenda barani Asia ili kutanua wigo wa masoko yao

Waarabu ndio kiini cha Man City kutawala Epl, na sasa wanaindea Newcastle utd

Cr7 kaangalia mpunga atakaokunja huko Al Nasr kuanzia angle ya mshahara, bonuses mpaka matangazo huko ktk nchi husika

Pesa haina kikomo cha kutafuta, ndio maana matajiri kina Bakhressa kila leo wanazidi kuongeza wigo wa biashara ilhali sisi maskini account ikisoma tumilioni kadhaa tunaanza kutembea kwa kutanua makwapa kama tuna majipu vile [emoji3]
Waarabu wana pesa kuliko wazungu?
 
Ronaldo legacy yake haiwezi kupotea kizembe. Anachofanya Ronaldo ni watoto wengi waliotoka familia za maisha ya chini wangefanya.

Ile offer ni nzuri sana kuzidi status ambayo angeipata akishinda makombe kadhaa kwa muda uliobaki. Tayari kashinda kila kitu, Ronaldo ametengeneza generational wealth, ameweka income streams ambazo hata siku moja akikaa chini atasema 'nimetimiza lililonileta duniani kwa ajili yangu na kizazi changu.'

The Ronaldos hawatalia shida tena kwasababu mtu mmoja tu katika ukoo wao ameweza kuvunja chain ya umasikini. Si unaona leo hii kuna brands kubwa kama Gucci, Dior ni vizazi vinafaidi na ndiyo itakavyokuwa kwa brand ya CR7.
Well said
 
Kabla haujamshauri Ronaldo ambaye ameshafanikiwa kwa kila kitu Fanya yafuatayo
1. Jishauri kuhusu afya,elimu, mlo wako
2. Jishauri kuhusu gono,malaria, kichwa
3.Jishauri kuhusu utasaidiaje ndugu zako maskini huko vijijini
4. Jishauri kuhusu malazi na malezi Bora
5. Jishauri kuhusu utaondoaje vifo vya wajawazito, na utapiamlo etc
Thanx
 
Wanazi wakimaharibi wameumia sana Ronaldo kwenye Uarabuni, Walitaka aende MLS, wivu unawatesa sana.
 
Back
Top Bottom