Una umri gani boss!?Hapana mimi ni Legend najua. Huyu Dada ananipenda sana sana. Na Mimi nampenda na Kumheshimu mkuu.
Yaan daah kuna wanawake wanajua kupenda hadi raha yaan kila ukitazama kasoro yake ya kusema ni kasoro kubwa huioni. Mungu akuweke S..
Ukitaka usiwe na stress chukulia kuwa anatoka na mtu mwingine lkn anaheshimu haonyeshi hadharaniWenzetu mnaoaga wanawake wa wapi? Sina mke ila Nina MPENZI. Nina muamini zaidi ya 100% na ni kisu cha haja with brain.
Naweza kua nae mbali miez hata miwili na hana tatizo na sijawahi ona dalili wala matendo ya uhuni. Kifup ni Mwanamke na Nusu.
Kwa anaebisha mimi najitolea kumpa namba ajaribu aone nachosema. Kifupi ni kisu na nusu
Yapo mengi sana.
Wenzetu mnaoaga wanawake wa wapi? Sina mke ila Nina MPENZI. Nina muamini zaidi ya 100% na ni kisu cha haja with brain.
Naweza kua nae mbali miez hata miwili na hana tatizo na sijawahi ona dalili wala matendo ya uhuni. Kifup ni Mwanamke na Nusu.
Kwa anaebisha mimi najitolea kumpa namba ajaribu aone nachosema. Kifupi ni kisu na nusu
Usipime kina kwa kudumbukia, ipo siku hutaamini macho yako!!! Again don't ever trust a waman
Hapana mimi ni Legend najua. Huyu Dada ananipenda sana sana. Na Mimi nampenda na Kumheshimu mkuu.
Yaan daah kuna wanawake wanajua kupenda hadi raha yaan kila ukitazama kasoro yake ya kusema ni kasoro kubwa huioni. Mungu akuweke S..
Wale vijana kwenye ile idara kwanza ni wapole na sio wazungumzaji Sana Ila vikao vyote top vya DC au DED wanakuwepo. Na huwa hawaongei Sana ni wakimya Ila wenye nguvu za kimamlaka hatar.
Kama mke ni pis Kali wakimtaka watamla tuuuu huwezi bisha. Kwanza wanafahamika kwa uwazi kutokana na shughuli za kila siku za kiserikali halafu kitengo Chao kinaogopewa kinyama halafu kwasababu wana hela chafu na wako smart aisee nkeo piskali itakuwa tu jamaa yangu.
Hayo ndio maisha.
Umewahi kusikia habari ya kuweka mkuki?
Ooooh yeah, sorry sikukupata fresh!Umewahi kusikia habari ya kuweka mkuki?
Wapemba hawatanii utamsikia "mimi namwachia Mungu........",akipotea kwa wiki kadhaa akirudi jua lazima kuna mtu kishapewa discipline.Hao Dawa Yao Ni moja tu, tafuta picha Yake kwa kila namna Halafu nenda pemba.
ONYO: Uwe na roho ngumu maana atakachofanywa inabidi uwe na roho ngumu. Na adhabu utachagua wewe! Either awe mgonjwa maisha yote, afe au awe chizi.
Jamani kuwa na pesa sio kuwa na nguvu zote, usiombe ukaingia anga za watu wanaojua sehemu za kukuumiza bila pesa.
Mie pia najiuliza hizo hela chafu ni zipi, kwanza ni wabahili hao lol[emoji38]Eti wana hela chafu! Hela chafu ni bei gani? Ile million kasoro na posho ya katikati ya mwenzi?
PoleHapana mimi ni Legend najua. Huyu Dada ananipenda sana sana. Na Mimi nampenda na Kumheshimu mkuu.
Yaan daah kuna wanawake wanajua kupenda hadi raha yaan kila ukitazama kasoro yake ya kusema ni kasoro kubwa huioni. Mungu akuweke S..
Watu gani mnawaongelea? Sijaelewa chochote huu uziUpo sahihi kabisa.Wapo wengine ni ndugu zetu wana njaa kali hela hawana wanagongea hadi hela za nauli.
Wanaonufaika zaidi nk wale top lakini hawa wadogo ni masikini kama walivyo watumishi wengine.Tatizo watu wanaaminishwa sana na story za vijiweni ila sie tunaishi nao kabisa ni choka mbaya.
Nyie ndio mnajinyonga mwisho wa siku au kuchapa watu na risasii...Wenzetu mnaoaga wanawake wa wapi? Sina mke ila Nina MPENZI. Nina muamini zaidi ya 100% na ni kisu cha haja with brain.
Naweza kua nae mbali miez hata miwili na hana tatizo na sijawahi ona dalili wala matendo ya uhuni. Kifup ni Mwanamke na Nusu.
Kwa anaebisha mimi najitolea kumpa namba ajaribu aone nachosema. Kifupi ni kisu na nusu