magode
JF-Expert Member
- Oct 2, 2014
- 2,204
- 3,336
Yaani hili ni tatizo kweli la kuleta hapa!?? Ina maana humjui hata baba yako wa kiroho ambae ndo mwenye msaada mkubwa sana kwa mambo hayo.
Lkn kwa kukusaidia,kanisa katoliki ndo baba sayansi,baba historia,baba wa kila kitu unachokiona leo. Hao ndiyo mabingwa wa kutunza kumbukumbu. Ukibatizwa ndani ya kanisa katoliki,taarifa zako hazipotei kamwe! Dada yangu alikuwa anafunga ndoa hapa dar mwaka 2015. Alibatizwa mwaka 1967,akiwa mchanga wa mwaka 1,miaka 14 baadae akapata komunio na kipaimara. Alipewa cheti lkn harakati za maisha akapoteza,hakujali mpaka alipotaka kufunga ndoa ndo akaambiwa afuate cheti Cha ubatizo. Alibatizwa kijijini kabisa parokia moja inaitwa Ibhoja ipo wilaya ya KAHAMA.
Nilitumwa me mwenyewe kukifuata,yaani ni kazi ya dakika 10. Nilikichukua nikakipiga picha nikatuma whatsap wakati me najipanga kurejea dar taratibu zikaendelea. Nenda ulikobatizwa kachukue...!! Wala siyo issue kabisa hiyo....
Lkn kwa kukusaidia,kanisa katoliki ndo baba sayansi,baba historia,baba wa kila kitu unachokiona leo. Hao ndiyo mabingwa wa kutunza kumbukumbu. Ukibatizwa ndani ya kanisa katoliki,taarifa zako hazipotei kamwe! Dada yangu alikuwa anafunga ndoa hapa dar mwaka 2015. Alibatizwa mwaka 1967,akiwa mchanga wa mwaka 1,miaka 14 baadae akapata komunio na kipaimara. Alipewa cheti lkn harakati za maisha akapoteza,hakujali mpaka alipotaka kufunga ndoa ndo akaambiwa afuate cheti Cha ubatizo. Alibatizwa kijijini kabisa parokia moja inaitwa Ibhoja ipo wilaya ya KAHAMA.
Nilitumwa me mwenyewe kukifuata,yaani ni kazi ya dakika 10. Nilikichukua nikakipiga picha nikatuma whatsap wakati me najipanga kurejea dar taratibu zikaendelea. Nenda ulikobatizwa kachukue...!! Wala siyo issue kabisa hiyo....