Kama Mkristu Mkatoliki Naomba Unishauri!

Yaani hili ni tatizo kweli la kuleta hapa!?? Ina maana humjui hata baba yako wa kiroho ambae ndo mwenye msaada mkubwa sana kwa mambo hayo.

Lkn kwa kukusaidia,kanisa katoliki ndo baba sayansi,baba historia,baba wa kila kitu unachokiona leo. Hao ndiyo mabingwa wa kutunza kumbukumbu. Ukibatizwa ndani ya kanisa katoliki,taarifa zako hazipotei kamwe! Dada yangu alikuwa anafunga ndoa hapa dar mwaka 2015. Alibatizwa mwaka 1967,akiwa mchanga wa mwaka 1,miaka 14 baadae akapata komunio na kipaimara. Alipewa cheti lkn harakati za maisha akapoteza,hakujali mpaka alipotaka kufunga ndoa ndo akaambiwa afuate cheti Cha ubatizo. Alibatizwa kijijini kabisa parokia moja inaitwa Ibhoja ipo wilaya ya KAHAMA.

Nilitumwa me mwenyewe kukifuata,yaani ni kazi ya dakika 10. Nilikichukua nikakipiga picha nikatuma whatsap wakati me najipanga kurejea dar taratibu zikaendelea. Nenda ulikobatizwa kachukue...!! Wala siyo issue kabisa hiyo....
 
Baki na imani ya kanisa katoriki ndugu achana na propaganda zao hao watu maana hata hao wanaodai wamelowea katika madhehebu mengine wametoka na chimbuko la kanisa mama kanisa katoriki.
Amina saana Boss.... Sijawahi Kuwa na Dhehebu Lingine na Sitoikana imani Yangu Katoliki....Nitaipigania na Kuilinda...
 
Asaante saana kaka mimi 96 tu
 
Mtume Paulo alisema kama huwezi useja acha ila wanajiingiza kimagumashi. Yesu wa Nazareth hatujui kwani injili za ukweli kumhusu zilifichwa
 

Huyu hana haja ya mafundisho ya ukatukumeni, ni mkatoliko kwani alibatizwa.
Aende kwa paroko wa parokia anayoishi atampa muongozo!
Anaweza kuamua kumpa mtihani kupima uelewa wake, kisha akampa hizo sakramenti kwa muda mfupi tu.

Cheti chake cha ubatizo atapata kwa kutaja tarehe ya ubatizo, jina na parokia tu.
 
Asante saana Kaka..
 
Umewahi kumshirikisha hili jambo padre au mwalimu yoyote wa dini?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…