Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
- Thread starter
-
- #41
Kunywa hata vidonge tu utulize kichwaUbongo wake umesha ganda kama yai la kuchemsha
Nikuwapiga wajinga wakubwaNashangaa sana kitengo cha Propaganda cha CCM kimekosa hoja kabisa. Yaani uchaguzi uwe wa huru na haki wanachapika mapema mnooo. Juzi, jana na leo tumeendeshana sana na harakati za uchaguzi wa serikali za mitaa. Chama dola kinatapatapa huku kikimtumia Afisa Mtendaji wa mtaa asaidie mizengwe. 🤣🤣🤣
Mchezo wa safari hii mtaani kwangu ninao hawa yaani ni jino kwa jino.
Kwa hiyo ulitaka wavae magunia.🤣🤣🤣
Akili huna wewe mbona asilimia 80 wamevaa sare hapo ???
Ungeacha wenye akili Timamu wajadili hoja.Nikuwapiga wajinga wakubwa
Hakuna mkutano hapo zaidi ya laana tupuNani kakwambia CCM huwa inalazimisha mtu kwenda kwenye mikutano yake? Halafu nani kakwambia kuwa wakuu wa idara au watumishi siyo wapiga kura na siyo watanzania? Unaweza vipi lazimisha watu wengi kiasi hiki kuja mkutanoni?View attachment 3121172View attachment 3121173View attachment 3121174
Nadhani umeanza kunitafutaUngeacha wenye akili Timamu wajadili hoja.
Una mawazo ya kijinga jinga tu wewe.Duniani kuna mnyiha mwenye akili?Juliana shonza-mnyiha(chadema kwenda ccm),john silinde mnyiha(chadema kwenda ccm)mwampamba yule alimla jokate jpm akakasirika, mnyiha(chadema kwenda ccm).we we mnyiha uko ccm.Tafuta mnyakyusa aliehama chadema kwenda ccm.uwe na adabu
Laana unayo wewe usiyejitambua.Hakuna mkutano hapo zaidi ya laana tupu
Tumsaidie huyu shetani mtaji atoke kwenye mikono haramu ya majangili ya CCMUbongo wake umesha ganda kama yai la kuchemsha
Kazi ya polisi ni kulinda usalama wa Raia na mali zao.Mbona polisi walikuwa wamejaa barabarani kuzuia jaribio lolote la watu kuandamana?
Kusanyiko la kishetani kabisaLaana unayo wewe usiyejitambua.
Nilisha kunya maji awali kama ulivyo nishauri! Na sasa unanitaka ninywe vidonge, umeona tatizo hapo!!? Wauwaji wakubwaKunywa hata vidonge tu utulize kichwa
Kwanini usijiwezeshe wewe kwa kwenda hospital kupata matibabuTumsaidie huyu shetani mtaji atoke kwenye mikono haramu ya majangili ya CCM
Unajilazimisha tu kujibizana humu. Yaani CCM imechokwa sana mpaka mwenyekiti wake. Nyinyi kitengo cha propaganda ndio mnapiga kelele humu mitandaoni. Mwenye kujiamini na hategemei mtu ili apate Riziki yake hawezi akaunga mkono drama za CCM. Juzi Nchimbi kadanganywa kule Itirima na wewe ukaleta habari za Uzushi humu. Hivi unajisikiaje kuleta propaganda za kijinga kwenye huu utandawazi???Kunywa hata vidonge tu utulize kichwa
Weka no usaidiweKwanini usijiwezeshe wewe kwa kwenda hospital kupata matibabu
Kabisa mkuu! Kwa uwezo wa yoyote mpenda haki atamsaidiaTumsaidie huyu shetani mtaji atoke kwenye mikono haramu ya majangili ya CCM
Mbogamboga ???🤣🤣🤣Kwa hiyo ulitaka wavae magunia.
Chadema mnaendelea kebehi zenu! Alafu siku ya maandamano anabaki Mbowe na mwanawe mnaanza kulalamikia hao hao!Wafanyakazi wa Halimashauri na Waalimu hao 🤣🤣🤣
CCM inapendwa na kuaminika kwa watanzania.ndio maana ikiitisha mkutano watu wanajaa na kufurika kwa wingi sana mkutanoni.CCM ndio chama kilicho beba Matumaini ya watanzania.Unajilazimisha tu kujibizana humu. Yaani CCM imechokwa sana mpaka mwenyekiti wake. Nyinyi kitengo cha propaganda ndio mnapiga kelele humu mitandaoni. Mwenye kujiamini na hategemei mtu ili apate Riziki yake hawezi akaunga mkono drama za CCM. Juzi Nchimbi kadanganywa kule Itirima na wewe ukaleta habari za Uzushi humu. Hivi unajisikiaje kuleta propaganda za kijinga kwenye huu utandawazi???
Mi huwa nampa mpa hela ya vocha sihabaKabisa mkuu! Kwa uwezo wa yoyote mpenda haki atamsaidia