Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
CCM imechokwa mpk na shetani mwenyewe haitaki kabisaUnajilazimisha tu kujibizana humu. Yaani CCM imechokwa sana mpaka mwenyekiti wake. Nyinyi kitengo cha propaganda ndio mnapiga kelele humu mitandaoni. Mwenye kujiamini na hategemei mtu ili apate Riziki yake hawezi akaunga mkono drama za CCM. Juzi Nchimbi kadanganywa kule Itirima na wewe ukaleta habari za Uzushi humu. Hivi unajisikiaje kuleta propaganda za kijinga kwenye huu utandawazi???
CHADEMA ni matapeli ya kisiasa.walimuuza Mbowe barabarani yeye na mwanae na mke wake tu.huku wao na Madevu yao wakiwa wamejificha vyumbani kwao.Chadema mnaendelea kebehi zenu! Alafu siku ya maandamano anabaki Mbowe na mwanawe mnaanza kulalamikia hao hao!
Hizo hela ungekuwa nazo si ungekuwa umekwenda hospitalini?Mi huwa nampa mpa hela ya vocha sihaba
Umechokwa wewe na ujinga wako.CCM imechokwa mpk na shetani mwenyewe haitaki kabisa
Unakana wewe mjingaHizo hela ungekuwa nazo si ungekuwa umekwenda hospitalini?
Weka yako dogo ili ifuatwe ulipo kwa ajili ya kuwahishwa hospitaliniWeka no usaidiwe
Yaani wewe shetaniUmechokwa wewe na ujinga wako.
TeteteteteWeka yako dogo ili ifuatwe ulipo kwa ajili ya kuwahishwa hospitalini
Vp kuzuia maandamano ya amani?Kazi ya polisi ni kulinda usalama wa Raia na mali zao.
Tuliandamana mbona???CHADEMA ni matapeli ya kisiasa.walimuuza Mbowe barabarani yeye na mwanae na mke wake tu.huku wao na Madevu yao wakiwa wamejificha vyumbani kwao.
Uliandamania labda chumbani kwako na kumuacha mbowe mwenyewe akikamatwa kama kuku.Tuliandamana mbona???
Aina ya wafanyakazi makapukuWafanyakazi wa Halimashauri na Waalimu hao 🤣🤣🤣
Maandamano ya amani yapoje?Vp kuzuia maandamano ya amani?
Subiri mwezi ujao muone mtakavyo chapika katika sanduku la kura mpaka mshike adabu.Aina ya wafanyakazi makapuku
Mfyuu kwa mitanzania mizumbukuku mtashinda tuSubiri mwezi unao muone mtakavyo chapika katika sanduku la kura mpaka mshike adabu.
CCM itaendelea kuongoza Taifa hili kwa kadri ya uhai wake.Mfyuu kwa mitanzania mizumbukuku mtashinda tu
Kuamdamana bila kuleta fujo wala kuharibu mali za wananchiMaandamano ya amani yapoje?
Ziko wapi dola zilizokuwa tishio na imara zaidi ulimwenguni...iko wapi dola ya Roma, iko wapi dola ya Persian? Iko wapi nguvu aliyokuwa nayo mjerumani?CCM itaendelea kuongoza Taifa hili kwa kadri ya uhai wake.
SIKUPINGI MATAHIRA NI WENGI SANA NCHI HIICCM itaendelea kuongoza Taifa hili kwa kadri ya uhai wake.