Kama Mkutano wa Ndani Unajaa Watu Kiasi Hiki. Vipi Kwa Mkutano wa Nje? CCM ina uwezo wa kujaza hata Uwanja wa Taifa

Kama Mkutano wa Ndani Unajaa Watu Kiasi Hiki. Vipi Kwa Mkutano wa Nje? CCM ina uwezo wa kujaza hata Uwanja wa Taifa

Ziko wapi dola zilizokuwa tishio na imara zaidi ulimwenguni...iko wapi dola ya Roma, iko wapi dola ya Persian? Iko wapi nguvu aliyokuwa nayo mjerumani?

Zote zimepotea na kusahaulika hapa ulimwenguni..hivyo hata CCM haitadumu wala kutawala milele.
Usifananishe CCM na kitu chochote kile.CCM ni kama Damu kwa mwanadamu ambapo mtu hawezi kuishi pasipo Damu.CCM ndio Damu ya Taifa hili na itaendelea kuliongoza kwa kadri ya uhai wake Taifa hili.CCM ndio Tanzania na Tanzania ndio CCM
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kwa hakika CCM ina mamilioni ya wanachama,ina washabiki wa kutosha ,ina wafuasi wengi sana ,ina aminika sana ,ina kubalika sana ,inapokeleka na kupokewa na mamilioni ya watanzania kila ipitapo,ina nafasi katika mioyo ya watanzania. Ukiona mkutano wa ndani tu watu wana jaa na kufurika kiasi hiki ,basi ni lazima ufahamu ya kuwa chama hiki kipo mioyoni mwa watu na kimebeba matumaini yao.

Hawa unaowaona pichani ni Sehemu tu ya maelfu ya wengine ambao wanakuwa wamebakia nje kwa kukosa nafasi ya kukaa ndani. Hata uchukue ukumbi wenye ukubwa wa aina ipi , CCM inauwezo wa kuujaza ndani ya dakika moja na wengine kubakia nje ya ukumbi.CCM ina uwezo wa kuujaza uwanja wa Taifa na ukabakia uking'aa kwa rangi za kijani na njano tu.

Kwa hakika hiki chama ni mpango wa Mungu mwenyewe.huwezi ukashindana nacho hata kidogo.iwe ni jukwaani au katika sanduku la kura.

Nawakumbusheni tu kuwa hapa ni Mkoani Shinyanga wilaya ya KahamaView attachment 3121159View attachment 3121160

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Wanabebwa na coster na mafuso huoni wana sare zinazofana kana kwamba walikubaliana.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kwa hakika CCM ina mamilioni ya wanachama,ina washabiki wa kutosha ,ina wafuasi wengi sana ,ina aminika sana ,ina kubalika sana ,inapokeleka na kupokewa na mamilioni ya watanzania kila ipitapo,ina nafasi katika mioyo ya watanzania. Ukiona mkutano wa ndani tu watu wana jaa na kufurika kiasi hiki ,basi ni lazima ufahamu ya kuwa chama hiki kipo mioyoni mwa watu na kimebeba matumaini yao.

Hawa unaowaona pichani ni Sehemu tu ya maelfu ya wengine ambao wanakuwa wamebakia nje kwa kukosa nafasi ya kukaa ndani. Hata uchukue ukumbi wenye ukubwa wa aina ipi , CCM inauwezo wa kuujaza ndani ya dakika moja na wengine kubakia nje ya ukumbi.CCM ina uwezo wa kuujaza uwanja wa Taifa na ukabakia uking'aa kwa rangi za kijani na njano tu.

Kwa hakika hiki chama ni mpango wa Mungu mwenyewe.huwezi ukashindana nacho hata kidogo.iwe ni jukwaani au katika sanduku la kura.

Nawakumbusheni tu kuwa hapa ni Mkoani Shinyanga wilaya ya KahamaView attachment 3121159View attachment 3121160

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Ndipo makada wakajipiga vifua na kububujikwa na machozi ya furaha
huku wakisema
"ewe Sizonje tuchukue utumwani milele"
Lumumba 4 : 5-13
 
Ndipo makada wakajipiga vifua na kububujikwa na machozi ya furaha
huku wakisema
"ewe Sizonje tuchukue utumwani milele"
Lumumba 4 : 5-13
Usifananishe CCM na kitu chochote kile.CCM ni kama Damu kwa mwanadamu ambapo mtu hawezi kuishi pasipo Damu.CCM ndio Damu ya Taifa hili na itaendelea kuliongoza kwa kadri ya uhai wake Taifa hili.CCM ndio Tanzania na Tanzania ndio CCM
 
Tume HURU yq Uchaguzi ndio ingeamua kama mnapendwa ama la. Mnaogopa nini?!
 
Tume HURU yq Uchaguzi ndio ingeamua kama mnapendwa ama la. Mnaogopa nini?!
Hata ije Tume ya uchaguzi kutoka Marekani bado CCM itapita na kushinda kwa kishindo kikuu kitakacho itetemesha Dunia nzima.
 
Hii mikutano kwasasa ina neema za bahasha..ccm wako vema..wana vitega uchumi vya kuwezesha michakato yao kama hii..hata mitaani kuna mikopo ya akina mama wafia ccm...sasa unadhani watatoka vipi
 
Hakuna mtu mwenye akili timamu anayekwenda kwenye mkutano wa ccm bila malipo.
Unaweza vipi walipa watu hawa wote ili wahudhurie mkutanoni? Kwa pesa kiasi gani hicho? Watu wanahudhuria mikutano ya CCM kwa hiyari yao na kwa upendo wao kwa CCM kama unavyoona hapa
Screenshot_20241009-152555_1.jpg
Screenshot_20241006-132427_1.jpg
 

Attachments

  • Screenshot_20241009-152555_1.jpg
    Screenshot_20241009-152555_1.jpg
    222 KB · Views: 0
  • Screenshot_20241008-142307_1.jpg
    Screenshot_20241008-142307_1.jpg
    220.4 KB · Views: 0
Ninachojua mimi ccm wanatumia kila mbinu kuwakusanya watu hasa kuwepo kwa wasanii kunaisaidia sana kupata audience na kufikisha ujumbe wao
Lakini kwa upande mwingine ccm ndo cha mama lazima kitakua na watu wengi nakutokana na mdororo wa uhuru wa vyama pinzani ni lazima kutakua na wanachama wengi wa ccm kuliko vyama pinzani kwani sikuzote hata mwanamke kama humpi maneno na haoni progress zaid ya kubaki kimya tu lazima mvuto wake kwako utapungua hvyo ccm wana uwanja mpana lakini kwa hali tunayopitia hii miaka tangu 2015 wangeacha wapinzani wawe huru kukosoa na kufanya mikutano ya hadhara lakini kwa hii inayoendelea sidhani kama ingekua hvi hakujitokea upinzani ukawa na nguvu never, unless kue na mabadiliko kwenye katiba as katiba still inampa nguvu alieshika dola kumuongoza huyu anavyotaka

Ccm wanambinu zao hasa kwa wale ambao hawajasoma hawana uelewa wowote ambao ndo wengi 🇹🇿 hii huku kwetu vijana kwa wazee wanaandikishwa uanachama bila wao kujua eti wanadanganwa wanaandikishwa kupiga kura aisee ndipo nikagundua upinzani hakuna namna wanaweza kutoboa nchi hii unless kufanyike jambo kwenye katiba

Mwisho kwa mtanzamo wangu hakuna upinzani ulio na nguvu ya kuweza kuidondoaha ccm hata kwa uchaguzi huru na haki kwa sasa nadhan kuna namna ya upinzani kutafuta namna ya kujiimarisha na kudemand katiba mpya kitu ambacho kitatoa njia kwao kupata uhuru wa kupata ushawishi kwa jamii kupitia mikutano ya hadhara
Nadhan 20-30yrs ijayo labda tunaweza ona upinzani ukipata nchi au kupotea kabisa ikiwa ccm wataendelea kuishi kwa mazoea hii kwakua asilimia kubwa ya wananchi watakua educated at least
Ndugu zangu Watanzania,

Kwa hakika CCM ina mamilioni ya wanachama,ina washabiki wa kutosha ,ina wafuasi wengi sana ,ina aminika sana ,ina kubalika sana ,inapokeleka na kupokewa na mamilioni ya watanzania kila ipitapo,ina nafasi katika mioyo ya watanzania. Ukiona mkutano wa ndani tu watu wana jaa na kufurika kiasi hiki ,basi ni lazima ufahamu ya kuwa chama hiki kipo mioyoni mwa watu na kimebeba matumaini yao.

Hawa unaowaona pichani ni Sehemu tu ya maelfu ya wengine ambao wanakuwa wamebakia nje kwa kukosa nafasi ya kukaa ndani. Hata uchukue ukumbi wenye ukubwa wa aina ipi , CCM inauwezo wa kuujaza ndani ya dakika moja na wengine kubakia nje ya ukumbi.CCM ina uwezo wa kuujaza uwanja wa Taifa na ukabakia uking'aa kwa rangi za kijani na njano tu.

Kwa hakika hiki chama ni mpango wa Mungu mwenyewe.huwezi ukashindana nacho hata kidogo.iwe ni jukwaani au katika sanduku la kura.

Nawakumbusheni tu kuwa hapa ni Mkoani Shinyanga wilaya ya KahamaView attachment 3121159View attachment 3121160

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Mimi
Ndugu zangu Watanzania,

Kwa hakika CCM ina mamilioni ya wanachama,ina washabiki wa kutosha ,ina wafuasi wengi sana ,ina aminika sana ,ina kubalika sana ,inapokeleka na kupokewa na mamilioni ya watanzania kila ipitapo,ina nafasi katika mioyo ya watanzania. Ukiona mkutano wa ndani tu watu wana jaa na kufurika kiasi hiki ,basi ni lazima ufahamu ya kuwa chama hiki kipo mioyoni mwa watu na kimebeba matumaini yao.

Hawa unaowaona pichani ni Sehemu tu ya maelfu ya wengine ambao wanakuwa wamebakia nje kwa kukosa nafasi ya kukaa ndani. Hata uchukue ukumbi wenye ukubwa wa aina ipi , CCM inauwezo wa kuujaza ndani ya dakika moja na wengine kubakia nje ya ukumbi.CCM ina uwezo wa kuujaza uwanja wa Taifa na ukabakia uking'aa kwa rangi za kijani na njano tu.

Kwa hakika hiki chama ni mpango wa Mungu mwenyewe.huwezi ukashindana nacho hata kidogo.iwe ni jukwaani au katika sanduku la kura.

Nawakumbusheni tu kuwa hapa ni Mkoani Shinyanga wilaya ya KahamaView attachment 3121159View attachment 3121160

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Huku kwetu watu wanaandikishwa uanachama
 
Back
Top Bottom