Nas Mapesa
JF-Expert Member
- Jul 31, 2014
- 5,286
- 5,421
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Kwa Tambwe tumeliwa vibaya sana !
Ndo upuuzi gani?Yangaaa.....
kiiza naye kaachwa akaletwa mavugo teh..teh mikia banaAliachwa Tambwe ili asajiliwe Kiiza. Huwa wanajitetea hivyo viongozi wa timu yenu.
Mavugo kawa Mazugo, anazuga tu!K
kiiza naye kaachwa akaletwa mavugo teh..teh mikia bana
dah mikia bana ..!hovyo tuMwakani ataachwa Kichuya maana haendani na mfumo wa Simba na mbaya zaidi baba yake ni Yanga wa kutupwa!
Wanasimba hatutakubali hiyo .Mwakani ataachwa Kichuya maana haendani na mfumo wa Simba na mbaya zaidi baba yake ni Yanga wa kutupwa!
Kabisa, yes tambwe anafanya vizuri huko yanga, kumtafuta mchawi saizi haitatusaidia kama simba.Yalishapita hayo tujipange kutengeneza kikosi.!
Yule beki tatu ndio anatufaa Kichuya ataozea benchiMwakani ataachwa Kichuya maana haendani na mfumo wa Simba na mbaya zaidi baba yake ni Yanga wa kutupwa!
Hata alipokuwa simba alifanya vizuri sana .Kabisa, yes tambwe anafanya vizuri huko yanga, kumtafuta mchawi saizi haitatusaidia kama simba.