KAMA MMBWAI NA IWE MMBWAI , Wanasimba wenzangu , Ni nani hasa aliyesababisha Amis Tambwe aachwe ?

KAMA MMBWAI NA IWE MMBWAI , Wanasimba wenzangu , Ni nani hasa aliyesababisha Amis Tambwe aachwe ?

Mwakani ataachwa Kichuya maana haendani na mfumo wa Simba na mbaya zaidi baba yake ni Yanga wa kutupwa!
 
Tambwe alidai mshahara mkubwa ambao anaupata Yanga $3000..Hakuna mchawi simba njaa
 
kwanini Musoti aliachwa na baadae tukawa tunahangaika na tatizo la mabeki wa kati kwa kifupi pale simba kila kiongozi ni kocha
 
Back
Top Bottom