Kama mnadhani Palestina anaonewa, jikusanyeni mwende mkawasaidie

Kama mnadhani Palestina anaonewa, jikusanyeni mwende mkawasaidie

TUKANA UONE

JF-Expert Member
Joined
Jan 3, 2018
Posts
2,345
Reaction score
6,970
Ukihitaji salamu subiri kwanza nimalize kunywa Supu!

Kuna ka-kikundi kameibuka hapa Tanzania hasahasa kwenye Mitandao ya Kijamii ambako bila kupepesa macho kameamua kuwatetea Hamas kwa mauaji waliyofanya huko Israel, ila hako hako Ka-Kikundi kameendelea kulaani mauaji yaliyofanywa na Israel kwa Wanamgambo hao wa Hamas na Palestina kwa Ujumla.

Inakuwaje Kuuliwa wengine nyie mnapenda na wengine wenye mlengo wenu kuuliwa muumie?

Don't be Keyboard Warriors, take Action!

Jikusanyeni tuwachangie nauli mwende mkawasaidie ndugu zenu wanao onewa huko Palestina ili mkumbukwe hapo baadae kama mashujaa!

Kwa Atakaye kuwa tayari kwa ajili ya safari anicheki tukanauone@gmail.com

Onyo:

Ukijenga Hoja tutajenga hoja kwa pamoja.

Ukija na hasira zako za kunyimwa papuchi basi usije ku-report kwa mods!
 
Wale ni majuha, huko wanakosali huwa wanajazana ujinga, viongozi wao nao ni wapuuzi, wanaweza kuwaingizia ujinga waumini wao na wakatii maagizo kwenda kuwasaidia magaidi. Ila hukohuko watakutana na moto wa jehanamu
 
Wale ni majuha, huko wanakosali huwa wanajazana ujinga, viongozi wao nao ni wapuuzi, wanaweza kuwaingizia ujinga waumini wao na wakatii maagizo kwenda kuwasaidia magaidi. Ila hukohuko watakutana na moto wa jehanamu
Kazi yetu ni kuwachangia nauli mkuu,wao waseme tu lini wanataka kwenda!
 
Hadi sasa waisrael wameshauawa zaidi ya mia tisa, na wao wakilipa kisasi kwa nini walaumiwe......tuombe hali isizidi kuwa mbaya zaidi.
 
Back
Top Bottom