Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,170
- 6,757
Mpo sahihi kabisa. Mbere kwa mbereCCM hatutegemei kura zenu wanyonge/Wala hao machinga.
Ushindi Ni lazima Kama ilivyofanyika 2020.
πππππππMpo sahihi kabisa. Mbere kwa mbere
Unajua nguvu ya wamachinga?CCM hatutegemei kura zenu wanyonge/Wala hao machinga.
Ushindi Ni lazima Kama ilivyofanyika 2020.
Unaijua nguvu ya vyombo vya dola wewe?Unajua nguvu ya wamachinga?
Sio kila siku ni jumamosi.Unaijua nguvu ya vyombo vya dola wewe?
Kama huijui kumbuka 2020 ilikuaje.
Unajua nguvu ya wamachinga?
Kiukweli hii nchi unahitaji mkono wa Chuma kwenye kufuata Sheria.Sasa naona Katibu mkuu wa UVCCM Kenani Kihongozi ameamua kuingia mstari wa Mbele kuongoza mapambano dhidi ya wamachinga. Bavicha tunalaani vitendo hivyo na tutaongoza mapambano ya kudai #KatibaMpya itakayotoa Uhuru wa vijana kufanya biashara bila bugdha. https://t.co/tvJUAjNFcRView attachment 2093396View attachment 2093397
Hawa jamaa huwa wanasiasa za chuki sana, wao kisa walikuwa hawampendi JPM hivyo kila alichofanya walikiona kibaya leo wanaanza kugeuka tena.Sasa naona Katibu mkuu wa UVCCM Kenani Kihongozi ameamua kuingia mstari wa Mbele kuongoza mapambano dhidi ya wamachinga. Bavicha tunalaani vitendo hivyo na tutaongoza mapambano ya kudai #KatibaMpya itakayotoa Uhuru wa vijana kufanya biashara bila bugdha. https://t.co/tvJUAjNFcRView attachment 2093396View attachment 2093397
Anayelalama nani? Upuuzi wa machinga lazima ukomeshwe.Sasa naona Katibu mkuu wa UVCCM Kenani Kihongozi ameamua kuingia mstari wa Mbele kuongoza mapambano dhidi ya wamachinga. Bavicha tunalaani vitendo hivyo na tutaongoza mapambano ya kudai #KatibaMpya itakayotoa Uhuru wa vijana kufanya biashara bila bugdha. https://t.co/tvJUAjNFcRView attachment 2093396View attachment 2093397
Mtaongea Sana tu maneno ya kwny kanga.Sio kila siku ni jumamosi.