msela wa mbagala
Senior Member
- Dec 13, 2019
- 139
- 443
Mbona kama anajificha kwenye kichaka cha safari. Kwan safari zake zimeanza mwaka huu??Inaonekana hiyo nafasi ya mwenyekiti wa bodi ni ya mwekezaji sasa kwakuwa yeye mwenyewe ameamua kuachia ngazi kutokana na majukumu yake mengine ameona ateue mtu mwingine wa kumwakilisha.
Ila sina uhakika katiba yao inasemaje.
Iskilize tena mkuuHivi kuna sehem kasema amemteua try again
Kwa clip niliyiona kasema kwa kikao walichokaa sep 21 wamekubaliana sijaskia nmeamua
kwani uwenyekiti siwakuchaguliwaInaonekana hiyo nafasi ya mwenyekiti wa bodi ni ya mwekezaji sasa kwakuwa yeye mwenyewe ameamua kuachia ngazi kutokana na majukumu yake mengine ameona ateue mtu mwingine wa kumwakilisha.
Ila sina uhakika katiba yao inasemaje.
Kasema pia kuwa anamteua Tyr againHivi kuna sehem kasema amemteua try again
Kwa clip niliyiona kasema kwa kikao walichokaa sep 21 wamekubaliana sijaskia nmeamua
Inaonekana hiyo nafasi ya mwenyekiti wa bodi ni ya mwekezaji sasa kwakuwa yeye mwenyewe ameamua kuachia ngazi kutokana na majukumu yake mengine ameona ateue mtu mwingine wa kumwakilisha.
Ila sina uhakika katiba yao inasemaje.
Mwenyekiti wa Bodi ni nafasi ya mwekezaji na si wanachama.kwani uwenyekiti siwakuchaguliwa
Kama nilivyosema sijui katiba yao inasemaje nimeeleza utashi wangu tu labda huenda hiyo nafasi ipo kwenye maamuzi ya mwekezaji.kwani uwenyekiti siwakuchaguliwa
Amefanya mambo kienyeji. Kama ilikua makubaliano na wenzake kwann isitolewe official na club social accounts au hata press.kwani uwenyekiti siwakuchaguliwa
mooo kama demu akiingia kwenye siku zake anakasirikaAmefanya mambo kienyeji. Kama ilikua makubaliano na wenzake kwann isitolewe official na club social accounts au hata press.
kuna uwenyekiti wa bodi na uwenyekeiti wa shareholders wanachama alipo mangungu kwani kila kitu lazima ulaumu kama hujui?kukaa kimya ni k uficha ujinga tangu tarehe 21 washapitisha bodi huo uamuziAmefanya mambo kienyeji. Kama ilikua makubaliano na wenzake kwann isitolewe official na club social accounts au hata press.
Hivi kama Simba wana hisa 51 na Moo 49, mwenye hisa nyingi si ndio anakuwa Mwenyekiti? Naomba kueleweshwa.Mwenyekiti wa Bodi ni nafasi ya mwekezaji na si wanachama.
Mwenyekiti wa Simba SC ni Murtaza Mangungu ambaye anaingia kwenye Bodi ya Wakurugenzi kuwakilisha wanachama.
Wanasimba leteni katiba yenu tuwasadie moo ataitafisha timu yenu.yeye ana hisa 49% anapata wapi mamlaka ya kuteua,arafu inakuwaje MTU aliyejiuzulu anapata mandate ya kuteuaInaonekana hiyo nafasi ya mwenyekiti wa bodi ni ya mwekezaji sasa kwakuwa yeye mwenyewe ameamua kuachia ngazi kutokana na majukumu yake mengine ameona ateue mtu mwingine wa kumwakilisha.
Ila sina uhakika katiba yao inasemaje.
Hiyo ni sawa kabisa,ila timing yake ya kujiuzulu sio nzuriInaonekana hiyo nafasi ya mwenyekiti wa bodi ni ya mwekezaji sasa kwakuwa yeye mwenyewe ameamua kuachia ngazi kutokana na majukumu yake mengine ameona ateue mtu mwingine wa kumwakilisha.
Ila sina uhakika katiba yao inasemaje.
Wee mwenyewe ukisoma ulicho andika unaelewakuna uwenyekiti wa bodi na uwenyekeiti wa shareholders wanachama alipo mangungu kwani kila kitu lazima ulaumu kama hujui?kukaa kimya ni k uficha ujinga tangu tarehe 21 washapitisha bodi huo uamuzi
Mangungu ni mwenyekiti wa klabu anwakilisha wanachama 51 percent shareholders, try again ni mwenyekiti wa bodi upande wa mwekezaji, mbona vichwa vigumu sana, he
hapana sielewi ninachoelewa ni kwamba MO anafanya kosa la jinai kuidhamini simba akisimama nchale akikaa nchaleWee mwenyewe ukisoma ulicho andika unaelewa