Kama Mo kajiuzulu amepata wapi Mamlaka ya kuteua?

Kama Mo kajiuzulu amepata wapi Mamlaka ya kuteua?

Mwenyekiti wa bodi sio lazima atoke upande wa mwekezaji. Kumbuka kuwa ile ni bodi ya wakurugenzi na sio bodi ya mwekezaji, hivyo ni vyema kuwepo mtu neutral ambaye anaweza kusimama katikati kwa maslahi ya wote (mwekezji na Simba) na sio kwa maslahi ya mwekezaji.
Kwa mtazamo wako ni sawa na kwa mtazamo wa Simba SC ni sawa pia kuacha hiyo nafasi kwa Mwekezaji au mtu kutoka upande wa Mwekezaji.
Na kwasababu zao (Simba SC) hata FCC imezikubali na kupitishwa.
 
Kwenye magroup ya watani tulikwa tunataka sana katiba za hizi clubs ili wanachama tuwe na ABC, kwasasa tunatumia uelewa na kanuni zilizopo,MTU alijiuru anapata wapi mandate ya kufanya uteuzi.
Ni jambo jema katiba ziwekwe wazi........hatujui katiba ya Simba inasemaje kuhusu swala hili. Ila hapa kwa maelezo yake mkutano ulifanyika tarehe 21.09.2021, na kutoa maamuzi hayo. Leo yeye alikuja kwa ajili ya kuujulisha uma wa wapenda soka juu ya maamuzi yake. Na sababu za kujiuzulu kaziweka wazi......hatuwezi pinga hilo.
kwa upande wangu sioni shida yeye yoyote, yeye kubaki kuwa mwekezaji.......
 
Hiyo ni sawa kabisa,ila timing yake ya kujiuzulu sio nzuri

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app

Hili litimu linatia aibu tulisema hii timu ni ya familia mtu anajiuzulu anamteua mtu wa kumrithi kweli Rage hakukosea aliposema simba ni mbumbumbu hawaelewi kitu wanaona ni sawa halafu asema b20 ameweka akaunti gani
 
Hili litimu linatia aibu tulisema hii timu ni ya familia mtu anajiuzulu anamteua mtu wa kumrithi kweli Rage hakukosea aliposema simba ni mbumbumbu hawaelewi kitu wanaona ni sawa halafu asema b20 ameweka akaunti gani
Kaweka akaunti ya GSM....
 
Hii taasisi ya simba ishawekwa mfukoni aiseh. Utaratibu wenu ukoje mtu alojiuzulu anapata wapi mamlaka ya kuteua?

Na ile midoli itaitwa friends of nani maana tajiri anasafari nyingi[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Kiufupi ni kwamba walishakaa kikao na wakakubaliana mo atakabidhi majukumu kwa try again, kwaiyo kwa bodi hakuna kilichoharibika, kwaiyo ilikuwa tu ni taarifa toka kikaoni tangu tarehe 21, mbayo tumejuzwa leo.
 
kuna uwenyekiti wa bodi na uwenyekeiti wa shareholders wanachama alipo mangungu kwani kila kitu lazima ulaumu kama hujui?kukaa kimya ni k uficha ujinga tangu tarehe 21 washapitisha bodi huo uamuzi
Mangungu ni mwenyekiti wa klabu anwakilisha wanachama 51 percent shareholders, try again ni mwenyekiti wa bodi upande wa mwekezaji, mbona vichwa vigumu sana, he
tatizo linakuja jinsi moo alivyomteua huyo try again,ametoa mamlaka wapi ya kumteua nayeye kashachia ngazi,kwani katiba ya simba inasemaje unajua kuna vitu simba wanafichwa,bora ukweli uwekwe hadharanui,mara kabaki kwenye kuendeleza vijana
 
tatizo linakuja jinsi moo alivyomteua huyo try again,ametoa mamlaka wapi ya kumteua nayeye kashachia ngazi,kwani katiba ya simba inasemaje unajua kuna vitu simba wanafichwa,bora ukweli uwekwe hadharanui,mara kabaki kwenye kuendeleza vijana
kwani katiba inasemaje kuhusu hilo embu tufundishe sisi wajinga tusiojua kitu
 
Kiufupi ni kwamba walishakaa kikao na wakakubaliana mo atakabidhi majukumu kwa try again, kwaiyo kwa bodi hakuna kilichoharibika, kwaiyo ilikuwa tu ni taarifa toka kikaoni tangu tarehe 21, mbayo tumejuzwa leo.

Boss Mo bana, badala liandikwe Tangazo la yeye kuachia hiyo nafasi na kupewa mtu mwingine yeye ametuletea taarifa kwa njia ya video!
 
kwani katiba inasemaje kuhusu hilo embu tufundishe sisi wajinga tusiojua kitu
sijajua katiba yao inasemaje,hata kama nikwasababu ya mabadiliko ya club simba kwanini hawakusubiri mpaka ile siku ya mabadiliko ndo waseme moo aachie nafasi moja,
 
Hivi kama Simba wana hisa 51 na Moo 49, mwenye hisa nyingi si ndio anakuwa Mwenyekiti? Naomba kueleweshwa.
Mambo ya hisa yana complications sana si marahisi kuyaelewa juu juu.

Mfano Hisa zinaweza kugawanya kwenye class, kama Class A NA B
-Class A ikawa na 10 voting rights
-Class B ikawa na 1 voting rights.

Hivyo kukawa na mtu anamiliki asilimia 20 ya Class A shares
Then watu milioni 1 wanamiliki class B asilimia 80 ya hisa.

Ina maana hapo mwenye Asilimia 20 ana kura 200 na asilimia 80 ana kura 80, chochote atakachosema mwenye Kura 200 hata waungane hao milioni 1 hawawezi kukitengua.

Mpaka ujue ni aina gani za hisa wanamiliki huwezi kufanya conclusion.
 
sijajua katiba yao inasemaje,hata kama nikwasababu ya mabadiliko ya club simba kwanini hawakusubiri mpaka ile siku ya mabadiliko ndo waseme moo aachie nafasi moja,
siku y amabadiliko ni lini unajua FCC ishapitisha mabadiliko ya simba rasmi na siku cheque ya b 20 inakabidhiwa kulikuw ana mwakilishi wa serikali wa Fcc? ni siku gani unayozungumzia wewe?
 
siku y amabadiliko ni lini unajua FCC ishapitisha mabadiliko ya simba rasmi na siku cheque ya b 20 inakabidhiwa kulikuw ana mwakilishi wa serikali wa Fcc? ni siku gani unayozungumzia wewe?
haha cheque simba pale walipigwa
 
Hii taasisi ya simba ishawekwa mfukoni aiseh. Utaratibu wenu ukoje mtu alojiuzulu anapata wapi mamlaka ya kuteua?

Na ile midoli itaitwa friends of nani maana tajiri anasafari nyingi😆😆😆😆
Siku zote Board of directors huteuliwa na shareholders, kama MO ana voting rights kubwa ni haki yake kama mmiliki kuteua Board of Director.
 
Siku zote Board of directors huteuliwa na shareholders, kama MO ana voting rights kubwa ni haki yake kama mmiliki kuteua Board of Director.
Kam watangazaji wa EFM wanakuambia wanachama wana 51 % ndiyo wengi ahalafu mtu ana 49% wanalalamika unatarajia nini kwa vilaza wasio na microphone, yaani its acommon sense kwamba majority shareholder ni MO, kosa la MO ni hii miaka 4 simba kufanya vizuri hana kosa jingine
 
Back
Top Bottom