passioner255
JF-Expert Member
- Apr 22, 2019
- 6,192
- 11,897
Kweli ukiacha kikwete na Baba Yake Manara wengine wote hamna Akili Kule anamkataba wa miezi minne Kwa hiyo dirisha dogo anaweza kuja.Umbumbu kipaji, ivi unathubutu vipi kumzungumzia mchezaji wa timu Nyingine aliye sajiliwa Kwa milion 900 na ushee wakati wewe ulikua na nafasi ya kumchukua Kwa milioni 400/=ukashindwa!! Ivi mnafikiria Kwa kutumia kichwa au kichwa kimebaki kama muundo tu wa maumbile ya mwanadamu.
Ismail Aden Lage kauliyako imetengeneza tatizo kubwa kuliko kauli yenyewe.[emoji2][emoji2]