Kama Moses Phiri ataendelea hivi mpaka Jan 2023 Manzoki wa nini?

Kama Moses Phiri ataendelea hivi mpaka Jan 2023 Manzoki wa nini?

Nawewe na umbumbumbu wako una amini timu itoe zaidi ya milioni 900 za ki Tanzania kumchukua mchezaji Kwa miezi 4. Yaa ni akiliyako Ipo sawa kabisa au unafikiri ao Wachina hawajui thamani ya pesa wanayo toa?
Hiyo ni hela ndogo China.
 
Back
Top Bottom