passioner255
JF-Expert Member
- Apr 22, 2019
- 6,192
- 11,897
Kweli ukiacha kikwete na Baba Yake Manara wengine wote hamna Akili Kule anamkataba wa miezi minne Kwa hiyo dirisha dogo anaweza kuja.Umbumbu kipaji, ivi unathubutu vipi kumzungumzia mchezaji wa timu Nyingine aliye sajiliwa Kwa milion 900 na ushee wakati wewe ulikua na nafasi ya kumchukua Kwa milioni 400/=ukashindwa!! Ivi mnafikiria Kwa kutumia kichwa au kichwa kimebaki kama muundo tu wa maumbile ya mwanadamu.
Ismail Aden Lage kauliyako imetengeneza tatizo kubwa kuliko kauli yenyewe.[emoji2][emoji2]
Dah Mkuu upo? Mzima? Huwa nafurahi sana nikiona hoja zako humu jamvini.Akiumia?!
Habar za Simba unacoment kivivu Ila zingekuwa za mabingwa ungeacha essay hapImeisha hiyoo
We mpira haukufai[emoji1787][emoji1787]Na phiri akiumia? Halafu kwa uwezo wa Manzoki angekuwa anapiga hat trick kila wiki na kwa ushindani ulivyo sasa hivi ubingwa unaweza ukaamuliwa kwa uwiani wa magoli
Tunamleeta mdunguAkiumia?!
Kwahiyo hamna striker hatar zaidi ya manzoki Africa nzima? Wengine mpira mmeujuliaje[emoji1787]Manzoki bado tunamhitaji sana. Maana hadi sasa hivi kikosi chote cha Simba striker wa maana ni mmoja tu, huyo Phiri.
Sasa kwa mashindano yote ambayo Simba inashiriki, ni risk kuna mambo mengi; Kuumia, game kukataa, kadi za njano, misumari, na kadhalika.
Ili kuleta dhana halisi ya kikosi kipana, ni muhimu sana kumnasa Manzoki kipindi cha dirisha dogo la usajili, la sivyo hali ya safu yetu ya ushambuliaji itakua ya kumtegemea mtu mmoja tu.
Threads nzima anatajwa manzoki utadhani jamaa anacheza namba zote[emoji28]Bado mnamuota Manzoni? Mnaujuwa mkataba wake China?
Hapana unajua mkataba wa manzoki umetupa kipaumbele sisi Simba Kama ule wa miqsonPale mikia fc wanaposhauriana juu ya mchezaji aliyekwisha sajiliwa na timu nyingine ndipo naikumbuka kauli adhimu ya Al Haj Ismail Aden Rage kwamba wanasimba wote ni mbumbumbu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Huu Uzi ni comedy Kama komedi za OKW BOBAN SUNZU [emoji1787]Umbumbu kipaji, ivi unathubutu vipi kumzungumzia mchezaji wa timu Nyingine aliye sajiliwa Kwa milion 900 na ushee wakati wewe ulikua na nafasi ya kumchukua Kwa milioni 400/=ukashindwa!! Ivi mnafikiria Kwa kutumia kichwa au kichwa kimebaki kama muundo tu wa maumbile ya mwanadamu.
Ismail Aden Lage kauliyako imetengeneza tatizo kubwa kuliko kauli yenyewe.[emoji2][emoji2]
Hawa ni mbumbumbu haswa.Threads nzima anatajwa manzoki utadhani jamaa anacheza namba zote[emoji28]
Sijui huwa wanawaza nini hawa jamaa?Hapana unajua mkataba wa manzoki umetupa kipaumbele sisi Simba Kama ule wa miqson
Wale waliowaona wakicheza na kucheza nao kama Adebayo na Aziz Ki, Simba wameshindwa kufika dau lao.Kuna aliwahi kumuona hy manzoki akicheza ?au ni kupitia youtube
hahahahaha,bro nimekuelewa.Wale waliowaona wakicheza na kucheza nao kama Adebayo na Aziz Ki, Simba wameshindwa kufika dau lao.
Nawewe na umbumbumbu wako una amini timu itoe zaidi ya milioni 900 za ki Tanzania kumchukua mchezaji Kwa miezi 4. Yaa ni akiliyako Ipo sawa kabisa au unafikiri ao Wachina hawajui thamani ya pesa wanayo toa?Kweli ukiacha kikwete na Baba Yake Manara wengine wote hamna Akili Kule anamkataba wa miezi minne Kwa hiyo dirisha dogo anaweza kuja.
Nipo mkuu,nafuatilia mambo yanavyoendaDah Mkuu upo? Mzima? Huwa nafurahi sana nikiona hoja zako humu jamvini.
Naunga mkono HOJAKama Moses Phiri ataendelea na moto huu huu maana yake hatumhtaj manzoki kwa sasa.
PHIRI ameonyesha ni goal scorer mzuri. Kufika January tutaona mwenendo wake lakini anaonyesha ni mzuri wa kujiposition, CHAMA asiumie tu.
SIMBA NGUVU MOJA