BREAKING NEWS.
Bulgaria,Canada na Uingereza zimefunga Anga lao kwa ndege zote za Urusi.
Ufaransa inatuma Siraha za kivita Ukraine.
White House imeomba kibali kwa Bunge la Congress kutoa msaada wa $ 6.4B kwa ajili ya msaada wa kijeshi kwa Ukraine.
Chakushangaza,Uturuki imesema haitazuia Meli za Jeshi la Urusi kupita Actic Bay inayodhibitiwa na Uturuki kuelekea Black Sea.
Marafiki wakweli huonekana wakati wa Shida. Uturuki na Ujerumani sioni haja yao kuwa NATO make walishawekwa kwenye Mfuko wa Russia.
Hapa,Naona Russia akichelewa kuiteka Kiev Kabla ya J3 atapata Shida kubwa Sana. Anatakiwa kuuteka mji Mkuu Kabla ya mda huo make Nchi Nyingi zilizokuwa Kimya Sasa Zimeanza kuonesha ukinzani kwa Urusi.
Ikumbukwe kuwa,Ukraine inahitaji Siraha TU za Kujilinda dhidi ya Vifaru na Ndege za Urusi. Make Haina Uwezo wa Kuishambulia Urusi.
Baadi ya Wanajeshi wa Urusi wametekwa kwenye Picha hapo Chini.
View attachment 2131844