Kama mpaka sasa hawajaiteka "Kyiv", basi ni wazi Jeshi la Russia halina nguvu kama inavyodaiwa

Kama mpaka sasa hawajaiteka "Kyiv", basi ni wazi Jeshi la Russia halina nguvu kama inavyodaiwa

Kama mpaka sasa Jeshi la Ukraine limeweza kuwapa upinzani wa kiwango hiki, ni wazi Jeshi la Russia sio strong kama linavyoelezewa na ni wazi lisingeweza kuhimili majeshi ya NATO kama tu Jeshi la Ukraine linawatoa jasho mpaka muda huu.

Kwa sifa tunazosikia kuhusu Jeshi la Russia, nilitarajia mpaka muda huu mji mkuu wa Ukraine uwe chini ya Majeshi ya Russia lakini mpaka sasa bado.

Soon tutaanza kusikia madai kuwa Jeshi la Ukraine linapata support kutoka kwa wamarekani na washiriki wake.

Ama kweli actions speak louder than words.
Mie imenishangaza sana urusi, yaani pa pa pa tayari wameufikia mji mkuu! Hii siyo vita ni mbabe kuiteka nchi! Hivi raise wa Ukraine ni Teja kweli nini, unaanzaje kutunishiana misuli na urusi kweli kama uwezo wako ni ndogo kiasi hicho! Na hauna Sir God to back you up! Ni kuingiza maisha ya watu wasiokuwa na hatia matatani!
 
Halafu wakishateka Kyiv Putin atasema hakuna mwanajeshi wa Russia aliyepoteza maisha wala vifaa vyake kubomolew, hataki kabisa Ukraine wapate misaada ya kijeshi halafu anajisifia kushinda vita kiulainiiii.
 
Kama mpaka sasa Jeshi la Ukraine limeweza kuwapa upinzani wa kiwango hiki, ni wazi Jeshi la Russia sio strong kama linavyoelezewa na ni wazi lisingeweza kuhimili majeshi ya NATO kama tu Jeshi la Ukraine linawatoa jasho mpaka muda huu.

Kwa sifa tunazosikia kuhusu Jeshi la Russia, nilitarajia mpaka muda huu mji mkuu wa Ukraine uwe chini ya Majeshi ya Russia lakini mpaka sasa bado.

Soon tutaanza kusikia madai kuwa Jeshi la Ukraine linapata support kutoka kwa wamarekani na washiriki wake.

Ama kweli actions speak louder than words.
Uzi uunganishwe tu zote za hii bita

Hakuna mjadala mpya humu
 
Huo ndio ukweli. Kwa mikwara yenu, mpaka muda huu mngekuwa mmeshaiteka Kyiv, ila mpaka sasa mmeshindwa na ni wazi ingekuwa ni nchi kama Ujeruman au France, mngekuwa bado mpkani na hapa ndio najiuliza uwapi uwezo wa nyinyi kupambana na Majeshi ya NATO kama mnavyojisifu.
Anga like wazi,
Waambie NATO walete pua zao Ukraine waone kutakachowapata[emoji2]
 
Tatizo unawaza like it's some kind of a movie yaan ichukue siku moja kitu ambacho hakiwezekani maana Russia wanafnya kwa Operations hawataki Ku course mass destruction na huwezi kufanikiwa kirahisi hvo kama na mwenzako anafanya resistance
Kuna mtaalam mmoja nilikuwa namsikiliza hapa anasema hakuna kazi kubwa kama kuingia nchini kwa adui huku yeye akikusubiri. Mpaka mnafanikiwa lazima mfe sana.
 
Ndugu zenu Wame ishiwa mafuta na vyakula uko ndo shida ya kwenda mtupu ugenini
 
Raia wa russia anasema ana ndugu zake Eukrain, kama akipata nafasi ya kuongea nao hajui atawaambia nini😔
 
Personally ninataka na NATO wajoin hii vita ili Europe iungue. Hawa jamaa wametutawala kikatili wamechukua resources zetu ,mpaka sasa hivi wanaendelea kututawala indirectly.. Africa tunauana kila siku lkn nobody cares..

Na wao kama wameamua kuuana wenyewe why should we care..
NATO wajoin vita Europe ichakae kama walivyoifanya Libya. Payback ni hapa hapa duniani.
Kwa akili za kushabikia CHADEMA huku unashabikia Urusi kwann tusiuane maana hatujielew na wazungu wanajazia kdg tu , Russia na Ccm ni damu damu
 
BREAKING NEWS.

Bulgaria,Canada na Uingereza zimefunga Anga lao kwa ndege zote za Urusi.

Ufaransa inatuma Siraha za kivita Ukraine.

White House imeomba kibali kwa Bunge la Congress kutoa msaada wa $ 6.4B kwa ajili ya msaada wa kijeshi kwa Ukraine.

Chakushangaza,Uturuki imesema haitazuia Meli za Jeshi la Urusi kupita Actic Bay inayodhibitiwa na Uturuki kuelekea Black Sea.

Marafiki wakweli huonekana wakati wa Shida. Uturuki na Ujerumani sioni haja yao kuwa NATO make walishawekwa kwenye Mfuko wa Russia.

Hapa,Naona Russia akichelewa kuiteka Kiev Kabla ya J3 atapata Shida kubwa Sana. Anatakiwa kuuteka mji Mkuu Kabla ya mda huo make Nchi Nyingi zilizokuwa Kimya Sasa Zimeanza kuonesha ukinzani kwa Urusi.

Ikumbukwe kuwa,Ukraine inahitaji Siraha TU za Kujilinda dhidi ya Vifaru na Ndege za Urusi. Make Haina Uwezo wa Kuishambulia Urusi.

Baadi ya Wanajeshi wa Urusi wametekwa kwenye Picha hapo Chini.
Screenshot_20220226-134128.jpg
 
Wkt Fulani wa ccm ya magufuli polepole alikuwa na propaganda za eti uzalendo,

Ninavyoona wa Ukraine wanavyolala mbele najiuliza ule uzalendo wa polepole ungekuaje kama tungeingia vitani
 
Yaan Vijana wa Kitanzania bana ! Hivi mnadhani vita ni mchezo ? Mpaka sasa Ukraine kashasambaratishwa sana! na miji mingi ipo mikononi mwa Urusi, wanamgambo imebaki Kiev tu ambayo mashambulizi ni makubwa. Jeshi la Ukraine limeweka nguvu 100% hapo Kiev
 
BREAKING NEWS.

Bulgaria,Canada na Uingereza zimefunga Anga lao kwa ndege zote za Urusi.

Ufaransa inatuma Siraha za kivita Ukraine.

White House imeomba kibali kwa Bunge la Congress kutoa msaada wa $ 6.4B kwa ajili ya msaada wa kijeshi kwa Ukraine.

Chakushangaza,Uturuki imesema haitazuia Meli za Jeshi la Urusi kupita Actic Bay inayodhibitiwa na Uturuki kuelekea Black Sea.

Marafiki wakweli huonekana wakati wa Shida. Uturuki na Ujerumani sioni haja yao kuwa NATO make walishawekwa kwenye Mfuko wa Russia.

Hapa,Naona Russia akichelewa kuiteka Kiev Kabla ya J3 atapata Shida kubwa Sana. Anatakiwa kuuteka mji Mkuu Kabla ya mda huo make Nchi Nyingi zilizokuwa Kimya Sasa Zimeanza kuonesha ukinzani kwa Urusi.

Ikumbukwe kuwa,Ukraine inahitaji Siraha TU za Kujilinda dhidi ya Vifaru na Ndege za Urusi. Make Haina Uwezo wa Kuishambulia Urusi.

Baadi ya Wanajeshi wa Urusi wametekwa kwenye Picha hapo Chini.View attachment 2131844

Fake propaganda!
 
Back
Top Bottom