Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na hii je?imeachwa na wenyewe wame kimbia afu kipigo ni kipigo tu.msha Anza utetez wa ajabu ?badae mtaanza kusema alipigwa Kwa sababu hakutumia nukliaKinachonifurahisha Russia anatumia silaha za enzi za Soviet ambazo zingehitaji gharama kubwa kuzifanyia disposal , so hajaingia hasara kutumia new weapons
Kuelekea mpaka kesho huu mji utakuwa mikononi mwa UrusiYaan Vijana wa Kitanzania bana ! Hivi mnadhani vita ni mchezo ? Mpaka sasa Ukraine kashasambaratishwa sana! na miji mingi ipo mikononi mwa Urusi, wanamgambo imebaki Kiev tu ambayo mashambulizi ni makubwa. Jeshi la Ukraine limeweka nguvu 100% hapo Kiev
Mzee wa Karma acha mambo yako! Sijamaliza kudaunilodi DIY video zao kule youtube. Ha ha ha aa!!!Na wao kama wameamua kuuana wenyewe why should we care..
Hujaelewa na huna uelewa wa mambo ya kifedha, huwezi kutoa pesa kutoka wapi?? Wao wamezuiliwa kufanya international transction only na sio kila nchi imekubali, Ujerumani, India, China wao hawakubaliani na hilo. Una uelewa mdogo sana wa mambo.They seize the banks USA hana transaction na watu wa Russia hawawezi kupokea pesa au kutoa
Russia wame zidiwa hadi wa tumia ballistic missile Kwa Ukraine ?kuhusu makazi ni uwongo jamaa wa rusha makombala hovyo picha hapo chini apartment Ukraine iliyo pigwa na ballistic missile ya Urussi .sawa kabisa anadhani ni URUSI ni kama shetani marekani yeye anaua tu RAIA hovyo
na JESHI la UKRAINE lishajua UDHAIFU wa URUSI ni kutopiga kabisa walipo RAIA na linatumia MWANYA Huo kujilinda nyuma ya raia na sometime ambush
Acha mahaba amezidiwa wakati yupo Kiev tayari au we ndio umezidiwa na misaada ya MarekaniRussia wame zidiwa hadi wa tumia ballistic missile Kwa Ukraine ?kuhusu makazi ni uwongo jamaa wa rusha makombala hovyo picha hapo chini apartment Ukraine iliyo pigwa na ballistic missile ya Urussi .View attachment 2132036
Eukrain ipo wapiRaia wa russia anasema ana ndugu zake Eukrain, kama akipata nafasi ya kuongea nao hajui atawaambia nini[emoji17]
Jirani na Russia.Eukrain ipo wapi
Miezisawa....iliwachukua siku ngapi kumuondoa madarakani ghadafi?.
akili za kamanda huyu 😃😃Nimeshindwa hata kuamaliza upupu wako hivi unafikir vita ni harusi
Mkuu katika hali kama hii "Officials in Washington added VTB, Otkritie, Novikombank and Sovcombank to the Specially Designated Nationals (SDN) list. The move effectively kicks the banks out of the US financial system, bans their trade with Americans, and freezes their US assets.We will limit Russia’s ability to be part of the global economy. We will stunt their ability to finance and grow Russia’s military. We will impair their ability to compete in a high-tech, 21st century economy. Bado huyo Russia anaweza kuwa na financial services access (kutoa pesa ikiwemo) kama ilivyokuwa hapo kabla vita haijaanza? kumbuka hapo bado hajatandikwa rungu la kuwa banned kwenye swift .Hujaelewa na huna uelewa wa mambo ya kifedha, huwezi kutoa pesa kutoka wapi?? Wao wamezuiliwa kufanya international transction only na sio kila nchi imekubali, Ujerumani, India, China wao hawakubaliani na hilo. Una uelewa mdogo sana wa mambo.
Upo nae hapo kiev kumbeAcha mahaba amezidiwa wakati yupo Kiev tayari au we ndio umezidiwa na misaada ya Marekani
😃😃😃 Rubani + Technology ya hiyo ndege nahisi ni Sukhoi hizo za mrusi.. naangalia hiyo video bila luchokaHii video nilipoona kwa mara ya kwanza, ikabidi nisimame nimpigie saluti rubani wa hiyo ndege awe ni mrusi awe ni mUkraine.
huyu rubani anachezea kidude huku moto uliotelemshwa sio wa mchezoMashambulizi ya ndege za Urusi Near Kyiv last night!! Kwa sasa wameshaingia Kyiv unapigwa msako mkali wa kumkamata raisi
Jamaa ataminya gas yake.. mbona wataomba poobenki za china zimesimamisha kugharamia biashara na urusi kwa mujibu wa chombo cha habari cha serikali ya urusi https://www.rt.com/business/550705-china-banks-restrict-russia-finance/