Mmarekani wa burigi unatafuta kuikosoa urusi kwa kila namna kwani USA + NATO walichukua muda gan kufika Damascuss? Unadhani vita ni kula michembe? Look very u will go and water! Ndani ya siku mbili ameteka the largest powe plant Chernobyl huko Pripyat na pia yupo mji mkuu Kiev bado hukubali? Mbona huwazungumzii US na NATO walosema Putin akithubutu kuishambulia Ukraine atakiona cha MDUMULA NGWAGU mbona kimya hadi leo?
Hebu tulia blaza amuadabishe dogo jeuri.
Hebu tulia blaza amuadabishe dogo jeuri.