Kama mpaka sasa hawajaiteka "Kyiv", basi ni wazi Jeshi la Russia halina nguvu kama inavyodaiwa

Kama mpaka sasa hawajaiteka "Kyiv", basi ni wazi Jeshi la Russia halina nguvu kama inavyodaiwa

Kama mpaka sasa Jeshi la Ukraine limeweza kuwapa upinzani wa kiwango hiki, ni wazi Jeshi la Russia sio strong kama linavyoelezewa na ni wazi lisingeweza kuhimili majeshi ya NATO kama tu Jeshi la Ukraine linawatoa jasho mpaka muda huu.

Kwa sifa tunazosikia kuhusu Jeshi la Russia, nilitarajia mpaka muda huu mji mkuu wa Ukraine uwe chini ya Majeshi ya Russia lakini mpaka sasa bado.

Soon tutaanza kusikia madai kuwa Jeshi la Ukraine linapata support kutoka kwa wamarekani na washiriki wake.

Ama kweli actions speak louder than words.
Issue sio kuteka nchi au miji,bali kufanya mapinduzi yenye afya na utu kwa Wakomonist wote wa Ukraine.
Ukraine ni sehemu muhimu kwa Soviet, suala la kuteka Nchi halipo bali kurejesha upya mipaka ya Soviet.
 
Russia waangalie wako kwenye hatari kubwa sana kwani kinachofuata wanajeshi wa Ukraine watavua magwanda na kuvaa kiraia sasa hapo ndipo wataanza "Guerrilla Warfare" na ndio itakuwa kyama kwa warusi na nimemsikia Putin akiongea asubuhi ya leo inaonekana wana hofu na hiyo mbinu.

No army on earth, however sophisticated it is, that can prevail against a Guerrilla Force, Russia won't be exception.
Na hivi wamewapa raia silaha kulinda nchi yao basi itakua vita ya kuviziana mtaa kwa mtaa.
 
Huko unakowazunguka ni wapi, mbona unaongea vitu vya movie, huu hapa ni uhalsia sio movie, hebu waza wavamizi wa nchi jirani kuja kuizunguka Dar kwa nia ya kupambana na Watanzania, sio kupambana dhidi ya JWTZ, ila Watanzania, vijana, wazee, akina bibi, watu wote wanaoijua nchi yao, hiyo Dar unaanza kuizunguka kuanzia wapi, Kibaha??? Mlandizi?? kumbuka uko ugenini unatakwa upigane na hao kwenye mitaa yao, vijiwe vyao, vitongoji vyao....ukimbizane nao Mbagalla, mara Buza, Tandale...mitaa ambayo wao hata wakifumba macho usiku wanajua vichochoro vyote...mbona wavamizi watakufa wengi sana.

Vita vya baina ya wanajeshi sawa, lakini sio pale unalazamika kupambana na wananchi, tena wananchi ambao hawakutaki kwenye muungano unaotaka kulazimisha, watu watajitoa mhanga na mauaji yatakua ya kimbari....Putin kwenye hili linamchanganya maana hawezi kugeuza na pia kuingia ndani imekua mtihani. Hata Mchina aliyekua anamtia mzuka ameshapiga kimya.

Picha kama hii hapa chini zimeanza kusambazwa kwenye mitandao, viijana wakiona hivi wanaingiwa na mzuka na mihemko maana haiwaingii akilini kuikimbia nchi waache akina bibi zao ndio waipiganie...

skynews-ukraine-mariupol-training_5673578.jpg
😆😆 Kwa hiyo unachotaka kuaminisha ni kwamba Russia atashindwa kuingia kyiv?
 
Sio kila shabaha inakua 100% precise.
Bomu linakawaida ya kuexplode mkuu.

Unapopiga bomu katikati ya makazi ya watu maana yake halitoathiri pale linapofikia tu,lazima litaexplode na maeneo ya pembeni na litaleta madhara.

Hivyo hata kama ukapata shabaha basi lazima utawadhuru na wengine kwa sababu ya kule kusambaa kwa bomu.

Hivyo kwa namna yoyote kama hujakusudia kudhuru watu huweI kupiga bomu kwemye makazi ya watu,upate shabaha ama ukose lazima madhara yatatokea tu.

Kwa msingi huu tunayo haki ya kusema kwamba mrusi anaharibu watu na makazi kwa dhuluma tu.
 
Kama mpaka sasa Jeshi la Ukraine limeweza kuwapa upinzani wa kiwango hiki, ni wazi Jeshi la Russia sio strong kama linavyoelezewa na ni wazi lisingeweza kuhimili majeshi ya NATO kama tu Jeshi la Ukraine linawatoa jasho mpaka muda huu.

Kwa sifa tunazosikia kuhusu Jeshi la Russia, nilitarajia mpaka muda huu mji mkuu wa Ukraine uwe chini ya Majeshi ya Russia lakini mpaka sasa bado.

Soon tutaanza kusikia madai kuwa Jeshi la Ukraine linapata support kutoka kwa wamarekani na washiriki wake.

Ama kweli actions speak louder than words.
Sijui kama wewe ni mtoto, kijana au mtu mzima! Naomba nikuulize wakati wa vita ya Marekani , Uingereza, Ufaransa na wadau wao wa NATO walipovamia Iraq ya Sadam Hussein ulikuwa na umri gani? Je walichukua miezi mingapi kumshinda Sadam Hussein na kuteka mji mkuu wake? Pamoja na kuwa yalikuwa ni mataifa mengi yaliyovamia Iraq, na kuwatumia pia waasi wa Iraq yaani waislam wa Shia, lakini iliwachukua miezi mingi sana kuangusha Utawala wa Sadam Hussein. Je hapo useme Marekani, Uingereza , Ufaransa nk kadhalika hawana nguvu kivile?
Labda huko ni mbali na hukumbuki kama ni kijana mdogo, nikuulize mfano wa hivi karibuni! Marekani na mataifa ya ulaya yalivamia Syria kutaka kumwondoa madakani rais Saad wa Syria, je wamekaa huko miaka mingapi na bila kufanikiwa kumtoa madarakani? Hujui kusoma mwenendo wa vita! Hata kama una nguvu vipi huwezi kuangusha nchi kwa siku 4, 5 HAIWEZEKANI! Hata Marekani na washirika waka wakivamia Tanzania na askari wakaamua kupigana, hawawezi kuiteka nchi kwa wiki moja HAIWEZEKANI. Watashinda kwenye uwanja mpana lakini linapokuja suala la vita ya mitaani (street fights) hapo hakuna tofauti kati ya Marekani na Mbongo!! Hapo hakuna kutumia ndege wala nini bali ni ukakamavu na ushujaa binafsi. Itawachukua miezi kama si miaka kuiteka Dar!!
Kwa hiyo dogo tulia! Vita ni vita! Hivi hujasikia jinsi amb avyo Marekani alifanywa huko Vietnum na Somalia?? Mzee mzima alikimbia kwa aibu!! Hivi Marekani amekaa Afghanistani kwa miaka mingapi? Je amefanikiwa kuwashinda Taleban? Vita vya mitaani ni habari nyingine!! Si ukosefu wa nguvu kwa upande wa Urusi bali Utu unamzuia kushambulia mji kwa nguvu zote ili kukwepa maangamizi ya raia. Kwani wangeamua kusambaratisha Kiev iwe majivu kwa siku moja wangeshindwa? Utu hauwaruhusu wafanye hivyo.
 
Kama ni hivyo mbona ni rahisi sana. Kama nchi nzima na jeshi lote la nchi limejikusanya kyiv,inachotakiwa hapo ni kuwazunguka na kufunga njia zote za kuingia mjini. Njaa ikiwashika lazima watatoa kichwa tu kama kobe.
Rais wa Ukrine ni Mwi Isarel! Israel ata siku moja awawezi mwacha mwenzao azalilike- hapa Urusi inapigana na Ukraine+Israel na NATO allies na Israel ni mwana Vita Urusi inaweza poteza vita hivi(Israel ni invisible ila yupo na anawashughulikia haswa)
 
Rais wa Ukrine ni Mwi Isarel! Israel ata siku moja awawezi mwacha mwenzao azalilike- hapa Urusi inapigana na Ukraine+Israel na NATO allies na Israel ni mwana Vita Urusi inaweza poteza vita hivi(Israel ni invisible ila yupo na anawashughulikia haswa)
Ila sisi tupo bongo lakini🤔
 
Yuko sahihi brother, anasubiri NATO wasongeze pua, uone atakachofanya , Borisi katuma wanajeshi waje kusaidia UKREIN, sasa na yeye kashawambia atakaesogeza pua atapata ambacho hajawahi kukipata maishani, na sasa waje Frontline awanyoshe.
Muda utaongea.
 
Wataalam wa infant wanadai nchi yeyote kuingia na kutwaa ardhi ni kazi ngumu sana.
Malengo ya kwenye majimbo yametimia.
Ila lengo la kuiinhia kiev sijaelewa wanataka nini?
Na urahisi ule wa kuingia ilipaswa machake yawacheze.
Anga way wayHudi wanaju wanatupeleka wapi sisi waafrica tushabikie tu kwa jicho la russia na USA .
vifaru vimeisha mafuta njiani.wanaenda tu.
 
Back
Top Bottom