Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Nilitaka kumuuliza the same angalau nimekuta ushaandika.Sasa kama mtoto ni mtoto kwa nini nisiongeze? hata nikiwa na watoto wa kike kumi si ni sawa tu? usitutishe bwana, wacha fufyatue
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilitaka kumuuliza the same angalau nimekuta ushaandika.Sasa kama mtoto ni mtoto kwa nini nisiongeze? hata nikiwa na watoto wa kike kumi si ni sawa tu? usitutishe bwana, wacha fufyatue
Hawez oa mwanae na wala hafkirii hivyo ,uwe na akil ,nyie ndo mnaopataga sifur darasan,nmetoa tuu sabab yakwanin wanaume wanapendelea sana watoto wa jinsia ya kiume,huo ndo ukwel,hao wadada wenyew wanapendelea azae jinsia ya kiume.bishen sasaKwa hiyo huyo baba atataka kumuoa binti yake mwenyewe? Au atataka binti yake aolewe na mtoto wake wa kiume?
Ndo mwanaume kaumbiwa hivo .....mitaa ya kama Guadalajara uko Mexico ni bonge la title tena ndo wanao push ndinga Kali ......ko kawaida mkuuWavuta bangimateja,majambazi(wengi)wabakaji,walawiti,panya road nk hivi ni wa kike hao!!!!!!!
Yaani hakuna malezi magumu na ya kuwa nayo makini sasa hivi kama watoto wa kiume.Siku hizi kulea watoto wa kiume imekuwa kazi. .
Mastylish wamezidi kuwa wengi Sana, wengine ukimuona utasema yes dume na wameoa ila wanapumuliwa, wengine wanajilegeza kabsa eti wanajifanya "this is how I was born" dadeq. .
Mungu ninusulie watoto wangu wa kiume
Kaka yangu huyoo, hahaa kwa vile ni tumbo moja[emoji22] [emoji22] [emoji22]Ndio Lovely Sister [emoji7] [emoji7] [emoji7]
Kaka yako ninavyokupenda hamna ajuae hahahaKaka yangu huyoo, hahaa kwa vile ni tumbo moja[emoji22] [emoji22] [emoji22]
Loo wewe au kaka binamu???
Inaumiza sana. . Michezo michafu imekithiri dear, yani tunahofia waume zetu na watoto wetuYaani hakuna malezi magumu na ya kuwa nayo makini sasa hivi kama watoto wa kiume.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji122] [emoji122][emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji124]
Duuuh!! Soo sad.Inaumiza sana. . Michezo michafu imekithiri dear, yani tunahofia waume zetu na watoto wetu
Kuna ndugu yangu alikuwa anafanyiwa huko na yeye anakuja kumfanya mdogo wake wa primary daaah
Ohooooo!!!"HIVI ITAKUWAJE SIKU UKIJA KUGUNDUA WATOTO UNAOWALEA SIO WA KWAKO ""
NA UMESHAFUNGA KIZAZI TAYALI """
Duh!!!Hawa watoto wa kiume wanaopumuliwa wana faida ipi hasa zaidi ya kuleta mkosi kwa familia?
Ohooo!!!Nowdays mitoto ya kiume ni bure kabisa....