Nedlloyd
JF-Expert Member
- Mar 29, 2014
- 10,361
- 27,215
😆😆 ila dada unaonekana una mguu Kama nyundo bonge la sigino vidole vibayaa🤣🤣🤣 kama yako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😆😆 ila dada unaonekana una mguu Kama nyundo bonge la sigino vidole vibayaa🤣🤣🤣 kama yako
Sio utetezi tatizo mnakosoa uumbaji wa mungu kungekuw na machagua ya miguu kabla ya uumbaji hapo sawa kwa lawama bruuuuKwan uko na miguu gani ?
Mana naona uko huu mtetezi wa miguu za watu.
#😛
Eeeeh hayaSio utetezi tatizo mnakosoa uumbaji wa mungu kungekuw na machagua ya miguu kabla ya uumbaji hapo sawa kwa lawama bruuuu
Upo sahii umelenga mulemule🤣🤣😆😆 ila dada unaonekana una mguu Kama nyundo bonge la sigino vidole vibayaa
Eeeh sa si mnyama wa porini 😛😛Upo sahii umelenga mulemule🤣🤣
Lakini kumbuka hata Malaya anatongozwa wakati wa ku bargain hudumaSiku zote, kitu kizuri huvutia nje; hata ardhi nzuri yenye rutuba huvutia wawekezaji.
Sasa wewe upo kwenye mahusiano miaka na miaka, na hujawahi kusikia mwenzako anatongozwa huko nje.
Hii inamaanisha, uliyenaye si pisi kali na pia sio mtanashati.
🤣🤣🤣🤣😅kama weweEeeh sa si mnyama wa porini 😛😛
Kitu ambacho kuwa ninaishangaa sana dunia, hata yule mwanamke ambaye unaona kabisa haiwezekani kufuatwa (kutokana na mtazamo wako) utakuta ana familia ya watoto na mume, hapo ndo utajua duniani kila mtu na mtuwe.Akiwa mbovu, atakuwa na ushawishi gani?
Miguu PhD hii wewe🤣🤣🤣🤣😅kama wewe
Iweke hapa ionekane sio kujisifu nyuma ya keyboardMiguu PhD hii wewe
kwato 😂🤣View attachment 2455869
Ngoko za Tariq Salamander
Nyoo hata aibu huoni.kwato 😂🤣
Nyoo hata aibu huoni.
Weka yako Sasa tuone mipilipili Hy😆
Aaah wewe labda Dela Chapelle xxy femaleusiishi kwa kukariri miguu ya kike hiyo