Nedlloyd
JF-Expert Member
- Mar 29, 2014
- 10,361
- 27,215
Yangu yote ya kushoto🤣🤣🤣🤣😅 watu mna maneno
Unakufuru uumbaji wa mungu
Yako ipo je
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yangu yote ya kushoto🤣🤣🤣🤣😅 watu mna maneno
Unakufuru uumbaji wa mungu
Yako ipo je
🤣🤣Weka kapicha tuioneYangu yote ya kushoto🤣
🤣🤣Weka kapicha tuione
Siajabu inamuonekano wa fenesi bichi au spoku za baiskel
vibaya hivyo alimradi anatembea shida ipo wapView attachment 2455701
Nafkiri unaizungumzia pissi niliokuwa naisema Ina miguu km hii
😛😛 Muda ukifika utaionavibaya hivyo alimradi anatembea shida ipo wap
Nilitaman sana nione yako
🤣🤣🤣ilivyo na mabonde milima na vichaka😛😛 Muda ukifika utaiona
Nna miguu mibaya🤣🤣🤣ilivyo na mabonde milima na vichaka
hakuna haja ya kuionyesha nisije zimia kwa vicheko
Endelea kuificha kwenye msuli
hongera kila laheri na matangawizi yakoNna miguu mibaya
Vidole Kama Tangawizi asee ila Wadada wanaipenda thank.
Aaaaah hakia Mungu yaan mguu wangu ufanane na Ngarawa....aaah 👀hongera kila laheri na matangawizi yako
Sipatii picha hivyo viatu vitakuwa na upana size ya ngalawa
Mwenyewe 😂😂🤣🤣🤣kawaida washenzi hutambuanaAaaaah hakia Mungu yaan mguu wangu ufanane na Ngarawa....aaah 👀
Mwanamke mshenzi Sana wewe 🤣🤣🤣🤣
Weee Paroko mimi.Mwenyewe 😂😂🤣🤣🤣kawaida washenzi hutambuana
Paroko wa mchongo labdaWeee Paroko mimi.
😛😛 Utakosa safari ya mbinguni HV HV unajiona .Paroko wa mchongo labda
Mtumishi gan wa mungu kutwa kusengenya miguu ya kina dada🙄mbinguni huendi😛😛 Utakosa safari ya mbinguni HV HV unajiona .
Unamsema vby mtumishi wa Mungu.
alichokiumba mungu binadamu hupaswi kumkosoa.ww n nani mbele ya mungu hadi ukosoe?sote tutafukiwa chini jiulize unapokufa hutakuwa na thamani tena waliokuona mzuri hautokuwa nao tena utakuwa chakula cha udongo na wadudu.so heshimu mungu na viumbe vyake usiwe mpuzi dunia ikakuhadaa hata mfalme suleman alisema ni ubatili mtupu, siku zote usipende kuona wengingne wa maana kumbuka maisha haya tunaptaWapo ambao hawatongozwi kabisa, hata ukipishana naye huwezi kugeuza shingo
M2 ana ngoko mbaya kutwa haishi kujitikisa makalio Hana mgongo wa kiume eeeh niishie hapa.... Huu Ni Ufunuo nakupa 🤣Mtumishi gan wa mungu kutwa kusengenya miguu ya kina dada🙄mbinguni huendi
Umba wako eti paroko 🤣🤣🤣😅M2 ana ngoko mbaya kutwa haishi kujitikisa makalio Hana mgongo wa kiume eeeh niishie hapa.... Huu Ni Ufunuo nakupa 🤣
Kwan uko na miguu gani ?Umba wako eti paroko 🤣🤣🤣😅
punguza vurugu za maono
Ufunuo baki nao
🤣🤣🤣 kama yakoKwan uko na miguu gani ?
Mana naona uko huu mtetezi wa miguu za watu.
#😛