Kama mshahara ni chini ya Tsh 150,000/= kwa mwezi bora useme unatangaza nafasi za utumwa kuliko useme ni nafasi za kazi

Inahuzunisha sana
 
Hata yangeboreshwa vipi kama mtu kashazoea ukandamizaji ataendelea kuwakandamiza huku yeye na familia yake wakiishi kama peponi.
 
Hata yangeboreshwa vipi kama mtu kashazoea ukandamizaji ataendelea kuwakandamiza huku yeye na familia yake wakiishi kama peponi.
Hujui shida wanazopata wafanyabiashara, akitoka TRA, wanakuja JIJI, wakitoka kuna utitiri wa taasisi zingine, Kama 150,000 ndogo fungua ofisi yako lipa watu 3M Halafu lete mrejesho baada ya mwaka
 
Hujui shida wanazopata wafanyabiashara, akitoka TRA, wanakuja JIJI, wakitoka kuna utitiri wa taasisi zingine, Kama 150,000 ndogo fungua ofisi yako lipa watu 3M Halafu lete mrejesho baada ya mwaka
Mkuu hapo kwenye mgahawa/genge usitake kupotosha. TRA wanafikaje
 
Wee jamaa ni hovyo tu.Ni rahisi kuwa mkosoaji kama hivi lakini sio kazi rahisi kuanzisha biashara ambayo utapata pesa ya kulipa wafanyakazi na bado wewe upate faida na biashara iendelee.Hebu jaribu kuanza biashara na uajiri watu,halafu leta mrejeaho hapa kwamba wewe umelipa mashara mnono kama unavyoeleza hapa.
 
Hujui shida wanazopata wafanyabiashara, akitoka TRA, wanakuja JIJI, wakitoka kuna utitiri wa taasisi zingine, Kama 150,000 ndogo fungua ofisi yako lipa watu 3M Halafu lete mrejesho baada ya mwaka
Acha kutetea unyonyaji. Hakuna mtu aliyesema ulipe 3m kwa mwezi. Nimesema mshahara angalau anaoweza kumudu nauli ya daladala na kujibakizia 2000. Hujaelewa nini hapo? Kama huwezi hata kulipa 150k si ufanye hizo kazi mwenyewe au na familia yako? Kuna haja gani ya kulazimisha kuajiri watu huku huwezi kuwalipa?
 
Wewe mpumbavu nimeanza biashara tangu 2011 hadi leo. Kuanzia 2016 nilianza kuajiri na hakuna mtu niliyewahi kumlipa chini ya 150k tangu mwaka huo. Na kwa sasa hakuna anayepata chini ya 250k. Usidhani nimeandika tu bila kujua ninachoandika.
 
Huwezi kumlipa mtu kiasi kikubwa ili hali faida ni ndogo. Tunagawana gawana kidogo kinachopatikana.

Wapo watu wanalipwa 1500 kwa kutwa na maisha yanaenda.
 
Ningekuwa ni mtunga sera ningehakikisha mishara ya watu hasa wahudumu wa baa na viwandani inapanda. Kuna mishahara ya baadhi ya viwanda ni midogo mno na kazi zina risk kubwa yaani inakuta mmiliki wa kiwanda au baa ana ukwasi mkubwa kwa kunyonya watumishi wake. Ningehakikisha wanaajiri watu wachache ila wanapata maslahi mazuri ili na wao waajiri wengine mashambani au kwenye biashara zao.
 
Huna njaa wewe na hujui unachokiongea. Businesses zina mambo mengi interconnected na calculated alafu wewe unaongea superficially.
 
Mbona unajiita mama samia we ni mwanamke kweli wahuni tukukamie?
 
Mbona unajiita mama samia we ni mwanamke kweli wahuni tukukamie?
Anajiita Mama Samia.. chawa eti nae anatoa ushauri.... Atuambie km ni WA kike tumshone, tumkule....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…