Kama mshahara ni chini ya Tsh 150,000/= kwa mwezi bora useme unatangaza nafasi za utumwa kuliko useme ni nafasi za kazi

Hakuna bora.
 
Una akili timamu?
 
Create jobs,don't criticise people's who create jobs,unajua faida na uwekezaji wake? Unajua analipa kiasi Gani Kodi ya pango,umeme,taka,Ulinzi,service levy,mapato,simu,Zima moto,leseni?
Acha kutetea upumbavu. Kama kampuni haiingizi hela afanye yeye na familia yake.
 
Ndo 2000 bila shaka wewe ni miongoni mwa mafedhuri
 

Ndiyo maana wanasema ni watumishi wa umma. Siyo wafanyakazi.
 
Hujui shida wanazopata wafanyabiashara, akitoka TRA, wanakuja JIJI, wakitoka kuna utitiri wa taasisi zingine, Kama 150,000 ndogo fungua ofisi yako lipa watu 3M Halafu lete mrejesho baada ya mwaka
Hajasema analipa hela zake ila mapato yaendane na matumizi ikiwamo mishahara.
 
Ukisoma comments za wengi hapa ni kama wanaupenda umaskini na kuwatetea wanyonyaji. Kimsingi watu wengi hawajui wanataka nini kwenye haya maisha.
Sio wanatetea wengi wao ndo wale mafedhuri waliojaa humu kuna watu humu wanatabia za ajabu sana kueni makini na waajiri wa humu ndani ni machoko tu humu wamekaa kama watu kumbe inreality machoko ofisini kwao uozo tu na utapeli
 
Chenye unaongea sidhani hata kama unaelewa au simu imejitype sasa umeongea nn hapo?
 
Create jobs,don't criticise people's who create jobs,unajua faida na uwekezaji wake? Unajua analipa kiasi Gani Kodi ya pango,umeme,taka,Ulinzi,service levy,mapato,simu,Zima moto,leseni?
So kuweza kulipa vyote hvo kwanini asipunguze na kustandardize mishahara wewe ni walewale πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…