MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
- Thread starter
- #61
Hakuna bora.Fikiri.
House girl analipwa 50,000 kwa mwezi, kulala bure, kula bire, umeme bure, sabuni kuanzia ya kufulia mpaka kukogea bure, matibabu bure, kwa ugfupi kila kitu bure. Na mutu anayelipwa 200,000 ambae kila kitu anajilipia mwenyewe, kuanzia kodi ya nyumba na kila mahitaji yake binafsi.
Ipi bora hapo?