Kama Mshauri wako Mkuu alikuwa Mtu wa hovyo enzi zake unategemea Wewe ndiyo uwe Bora?

Kama Mshauri wako Mkuu alikuwa Mtu wa hovyo enzi zake unategemea Wewe ndiyo uwe Bora?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Yaani kabisa Dr Matola PhD awe Boss wangu Himayani na amesfaafu ( na najua aliharibu mno kuanzia mfano mwaka 2005, kisha Mimi GENTAMYCINE nimekalia Kiti changu ( alichokikalia Yeye ) kisha niwe namsikiliza Yeye kwa kila Kitu hata kama ni Pumba na mambo yasiyofaa Himayani.

Nitakachokitoa a ni Kumwambia tu kuwa Yeye alikuwa Kiongozi Himayani na Mimi sikumuingilia Kimaamuzi hivyo nae pia Mimi sasa ndiyo Top wa Himaya sitaki awashwewashwe Kunishauri na Kunipangia bali atulie tu ale Pensheni yake.
 
Yaani kabisa Dr Matola PhD awe Boss wangu Himayani na amesfaafu ( na najua aliharibu mno kuanzia mfano mwaka 2005, kisha Mimi GENTAMYCINE nimekalia Kiti changu ( alichokikalia Yeye ) kisha niwe namsikiliza Yeye kwa kila Kitu hata kama ni Pumba na mambo yasiyofaa Himayani.

Nitakachokitoa a ni Kumwambia tu kuwa Yeye alikuwa Kiongozi Himayani na Mimi sikumuingilia Kimaamuzi hivyo nae pia Mimi sasa ndiyo Top wa Himaya sitaki awashwewashwe Kunishauri na Kunipangia bali atulie tu ale Pensheni yake.
Kwamba Kikwete aliharibu na nchi ikamshinda akanusurika kupigwa chini na Dk slaa 2010 na kisha chama kikanusurika kupigwa chini na JPM 2015 sasa Kikwete dhaifu ndio mshauri wa Samia [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

USSR

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwamba Kikwete aliharibu na nchi ikamshinda akanusurika kupigwa chini na Dk slaa 2010 na kisha chama kikanusurika kupigwa chini na JPM 2015 sasa Kikwete dhaifu ndio mshauri wa Samia [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

USSR

Sent using Jamii Forums mobile app
Tangu kufutwa kwa posho za buku saba Lumumba mmekuwa kana popote au fisi.
 
Back
Top Bottom