kibaravumba
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 6,634
- 7,015
Nimesikia mahojiano na mpenzi wa utopolo aliyekuwa kama amechanganyikiwa, muasisi wa jina la "utopolo" akidai Dr Mshindo Msola ana kadi ya Simba.
Kama wanayanga wana akili za jinsi hii, basi iko siku nayo si mbali GSM anatimuliwa. Maana naye ni Simba. Hawa utopolo wanapenda sana kuchanga elfu moja moja.
Awali mlilaumu waamuzi mara TFF,mara bodi ya ligi.Sasa baada ya kupewa penalty,goli a kuotea,na kubebwa kama watoto,mmehamishia vita yenu kwa viongozi wenu.Poleni sana
Kama wanayanga wana akili za jinsi hii, basi iko siku nayo si mbali GSM anatimuliwa. Maana naye ni Simba. Hawa utopolo wanapenda sana kuchanga elfu moja moja.
Awali mlilaumu waamuzi mara TFF,mara bodi ya ligi.Sasa baada ya kupewa penalty,goli a kuotea,na kubebwa kama watoto,mmehamishia vita yenu kwa viongozi wenu.Poleni sana