Kama mtabe wa mathematics, pitia hapa

This is not the way mathatics problem get solved ,
Swali lina wezekana labda u admit kua umeshindwa ..
 
That is what i meant hicho kialama ^ kina ifanya equestion kuonekana hivyo

Hapo ku sovle sasa ni mtereko kama kitonga introduce log
Ukitoa hiyo ^ linakua swali tena ? Hahha hata form one ana solve likiwa hivyo
 
So mzee uki prove LHS inakua sawa na RHS

kimsingi siikatai njiabya graph ukiangalia vizuri ndio only way yenye matumaini ya kutokua na ded end ila bado jibu ulilotoa halipo sahihi
Bingwa
Wale watabe kudizaini ma system ya ki utaalamu wa hali ya juu, huwa hawashuguliki na decimal points

Mfano
Wakati wanajaribu kutafuta ni jinsi gani rocket inaweza kuruka mpaka kufikia kutoka kwenye gravity ya dunia, alitokea huyu dada mmarekani mweusi, akayayavuruga mahesabu kwenye ubao na kuja na hesabu za makadirio yaliyofanikisha kuweza kurusha appolo 11 mpaka mwezini


 
Sawa' najua kua kuna aproximation kwenye mathematics , nafahamu pia huo mkasa wa Apollo 11 , na movie ya story hiyo nime tazama pia inaitwa THE HIDDEN FIGURE ya 2014 , nafahamu yote hayo kaka ,
Ila sidhani kama kwenye hesabu hii yana make sense ,

Uzuri wa Aljebra ni kwamba unaweza kujikosoa mwenyewe ,
Kapitie tena kwenye exeptional za approximation kwenye Hesabu ,Aljebra ipo!

sababu equestiona ya Aljebra unaweza izidisha kwa 1000 bado inatakiwa isiharibu mana so uki tuambia

1.11112 = 1.11114

Maana yake unasema

111112 = 111114
Which is wrong

Sjui kama naeleweka !.
 
This can’t be true. You’ve assumed that 8x and 2^(8-x) are factors?
 
This is not the way mathatics problem get solved ,
Swali lina wezekana labda u admit kua umeshindw
Hapo sijasolve nimesimplify ili kuonyesha logic kwanini hakuna uwiano katika equation.

Ni kweli linawezekana ila sio kwa level za form four hata six ambapo wewe umedai kwamba hili ni swali la form four hivyo kwa level hiyo jibu ni HAIWEZEKANI, hata ulipokuwa darasa la kwanza ukipewa swali 5 - 7=? jibu ni HAIWEZEKANI, ila ukifika la tatu ukafundishwa hasi na chanya ndo unapata jibu kuwa ni -2.

Kwa hilo swali sio level ya secondary kwa sababu hata mwenye degree ya mathematics anaweza akambwela kwa sababu Approximation Method zipo nyingi so kujua utumie ipi kwa swali hilo pia ni kipengele, labda Specialized Mathematicians ambao nao ukiwapa wawili kila mmoja atakuja na njia yake na majijibu lazima yatofautiane walau decimal place kwa sababu jibu lake ni makadirio/approximation.

Kikubwa swali hili katika marking uzito wa marks upo kwenye approaching more than exact answer kikubwa jibu liwe within the range na approach itumie correct method kati ya nyingi zilizopo
 
Umetetea hoja yako vema , hongera , tusubiri wataalam , maana mpaka sasa bado hamn alie toa jibu sahihi
 
Hizi nadharia zimewahi kukusaidia kwenye maisha yako? Umewahi kukutana nazo kwenye shughuli za kila siku za maisha yako?

Hata waliokimbia Kemia shuleni unawakuta kwenye viti virefu na meza za mashua wana dilute K-VANT na MO-Energy utadhani ni Mkemia wa serikali!!!

Ni Geometry ndiyo unakutana nazo kwenye maisha hata kabla hujaanza shule chekechea lakini utafanya Geometry kwa kutengeneza nyumba na gari za udongo, gari za mabua, miti, mbao na katani.

Hii uliyoileta hapa na zingine zinazofanana nayo ni matokeo ya Knowledge Based Curriculum KBC na siyo Competency Based Curriculum CBC ambayo dunia ndiyo sasa inaikimbilia kuiasili kama mtaala unaofaa kuendana na kasi na agenda ya sayari.

CBC walianza Malaysia Kenya wakawahi kuiasili na kuitekeleza na sisi Tz ndiyo tumeianza japo hatuna bajeti ya kutosha kuitekeleza 100% mfano siyo Walimu wote wamefunzwa CBC na pia vitabu vya kiada na ziada havijaandikwa vya kutosha na weledi bado una mashaka kwa maana kwamba vitabu vingi vina kasoro kwamba kumbe hata waandishi wa vitabu nao walipaswa kupewa mafunzo kabla ya kuandika.



Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 
Unsolvable
 
Mimi hizi equestion zime nisaidia na zina nisaidia mpaka sasa pia nina uhakika zitaendelea kunisaidia ndio maana hata baada ya kumaliza shule niliendelea kusolve ,

Labda nikwambie tu sio kila topic au somo utakutana nayo directly kwenye life ,

Yani utegemee uambiwe kua Aljebra hii apa ina kupa pesa au inakusaidia kupata hiki/kile in life , sio possible

Kuna vitu tulifundishwa hata in life havipo ili kukujenga kifikra ,kukuongezea uwezo wa kutatua changamoto , ndio maana utatuaji wa changamoto wa msomi na asie msomi hauwezi kufanana , hata kama hiyo changamoto haina uhusiano na masuala ya shule ,

Ume gusia mitaala mimi huko siwezi kugusia nachotaka u solve swali na nimeweka hapa kwa ajiri yabwanao weza kujaribu au kufanya sio mnao complicate lila kitu kutaka kiwasaidie kupata pesa [emoji16]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…