Kama Mtume Muhammad SAW ndiye Mtume wa mwisho wa Mwenyezi Mungu hawa akina Mwamposa na wenzake ni Mitume wa nani?

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Nimemsikia shehe wa DSM sheikh Walid akisema Mtume Muhammad SAW ndiye Mtume wa mwisho wa Mwenyezi Mungu

Swali:

Hawa akina Mtume Mwamposa na wenzake ambao sheikh mstaafu wa mkoa wa DSM Alhad Musa Salum alisema hata wake za mashehe wanaenda Kawe kuombewa ni Mtume wa ngapi na wa nani?
 
Muhammad mtume wa Allah, wewe ulimsikia wapi Mwamposa akisema anamtambua Allah?
 
Mwamposa na uislamu wapi na wap Mkuu, ivi upo sawa kweli?

View attachment 2949087

KaziKweliKweli/JobTrueTrue
Mungu ni mmoja ndio sababu kuna Yesu kwa Wakristo na Issa bin Mariam kwa Waislamu ni yule yule

Kuna Moses kwa Wakristo na Mussa kwa Waislamu ni yule yule

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸΌπŸΌπŸΌπŸ˜„πŸ”₯
 
Muhammad mtume wa Allah, wewe ulimsikia wapi Mwamposa akisema anamtambua Allah?
Mtume wa kupewa Jina ni Sawa na Ile title ya Dokta au Injinia wa Heshima Ila sio Dokta wala sio Injinia, nimehisi kwa sauti kwa hio Mwauposa ni Mtume wa kupewa Jina hilo kwa Heshima Ila sio Mtume wa kuchaguliwa na Mungu au Mtume km mitume wengine wakina Moamedi na wengineo
 
Kuwa na akili basi, CCM inaingiaje hΓ po?
QUOTE="Tate Mkuu, post: 49800354, member: 535381"]
Hao wakina Mwamposa, kitambo tu ni mitume wa ccm. Siku ccm ikiondolewa madarakani, na wenyewe watapotea kusikojulikana.
[/QUOTE]
 
Soma (wagalatia 1:8).

Quran imeletwa miaka ya hivi karibuni baada ya Yesu kufufuka na kupaa mbinguni,

Hivyo mtume wa waislamu ni WA UONGO.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…