johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Nimemsikia shehe wa DSM sheikh Walid akisema Mtume Muhammad SAW ndiye Mtume wa mwisho wa Mwenyezi Mungu
Swali:
Hawa akina Mtume Mwamposa na wenzake ambao sheikh mstaafu wa mkoa wa DSM Alhad Musa Salum alisema hata wake za mashehe wanaenda Kawe kuombewa ni Mtume wa ngapi na wa nani?
Swali:
Hawa akina Mtume Mwamposa na wenzake ambao sheikh mstaafu wa mkoa wa DSM Alhad Musa Salum alisema hata wake za mashehe wanaenda Kawe kuombewa ni Mtume wa ngapi na wa nani?