Kama mtumishi wa umma simpigii kura Magufuli kwa kutoboresha maslahi yangu, wewe kwanini hutamchagua?

Kama mtumishi wa umma simpigii kura Magufuli kwa kutoboresha maslahi yangu, wewe kwanini hutamchagua?

Kwa hiyo na Barabara zinazojengwa kwa Sasa apongezwe waziri wa ujenzi. Hahahahhaha. Watu mmekuwa wajinga awamu hii
Ukiwaita majina stahiki yao,wanasema unawatusi. Sasa ID yenyewe ni jingalao ,kweli kuna chochote cha tofauti na ujinga cha kutegemea toka kwa kiumbe huyu?
 
Mimi kama jobless sitampigia kura maana tokea aingie madarakani hajajishughulisha na suala la ajira . Watu tunafukuzwa kazi kisa tuna elimu kubwa ya bachelor.
Na hii takwimu ya ajira 6 million nayo ni kikwazo kwangu
 
Jiwe anajua kabisa kuwa ninyi watumishi wa umma mpo wachacahe na syo wapga kura wake ndo maana kaamua kuwakazia na anajua siku ya uchaguzi mnakuwa bize kwenye shughuli zenu nyingine hvyo kura zake zipo kwa wakulima vijijini huko japokuwa huko napo wanakaziwa mdogo mdogo.
All in all jamaa anashinda kwa namna yoyote Ile.
 
Back
Top Bottom