NAMBA MOJA AJAYE NCHINI
JF-Expert Member
- Oct 29, 2019
- 9,863
- 20,806
Ninawasanua makada wenzangu wa chama chetu CCM, hebu tujaribu kulijibu hilo swali kimantiki!!
Hoja za lissu tumeshindwa kujibu na hilo swali tunaweza kulijibu?
Ifikie hatua tuache kujibu mipasho masuala mtambuka ya kitaifa na nchi yetu Kwa ujumla.
Mzee Warioba ni mwanaccm na anaitaka Katiba mpya wewe hutaki katiba unasema eti katiba haileti ugali mezani. Sasa mkataba wa bandari umeleta ugali wa nani mezani? wamasai kufukuzwa ngorongoro kumesaidia ugali wa nani mezani?
Wanaccm hasa kizazi hiki chetu tuache kujizima data,vkatiba kwasasa inatakiwa sio tu na watanzania hata wanyamapori, majani, mawe, mchanga, maji bahari na vyote vinaitaka katiba mpya!!
Kama tuna akili timamu hatuwezi enda kwenye uchaguzi bila katiba mpya.
Tuendelee kushupaza shingo kwa uchawa usio na maana lakini kampeni zikianza tutaulizwa maswali hayo hapo juu na tukishindwa kuyajibu basi andaeni vyombo vya dola kushindisha chama awamu ijayo.
Nimewasanua sanukeni kama vipi!
Hoja za lissu tumeshindwa kujibu na hilo swali tunaweza kulijibu?
Ifikie hatua tuache kujibu mipasho masuala mtambuka ya kitaifa na nchi yetu Kwa ujumla.
Mzee Warioba ni mwanaccm na anaitaka Katiba mpya wewe hutaki katiba unasema eti katiba haileti ugali mezani. Sasa mkataba wa bandari umeleta ugali wa nani mezani? wamasai kufukuzwa ngorongoro kumesaidia ugali wa nani mezani?
Wanaccm hasa kizazi hiki chetu tuache kujizima data,vkatiba kwasasa inatakiwa sio tu na watanzania hata wanyamapori, majani, mawe, mchanga, maji bahari na vyote vinaitaka katiba mpya!!
Kama tuna akili timamu hatuwezi enda kwenye uchaguzi bila katiba mpya.
Tuendelee kushupaza shingo kwa uchawa usio na maana lakini kampeni zikianza tutaulizwa maswali hayo hapo juu na tukishindwa kuyajibu basi andaeni vyombo vya dola kushindisha chama awamu ijayo.
Nimewasanua sanukeni kama vipi!