Full Blood Picture
JF-Expert Member
- Jan 7, 2021
- 2,223
- 3,961
Ingekuwa noma mbaya sanaHawa jamaa huwa wanaijihisi kuwa wao ndio wanajua kumuabudu Mungu kuliko wengine, Mungu muumba wa dunia aliona mbali sana, kuwanyima mamlaka hawa jamaa.
Licha ya wengi wo kuisoma dini vilivyo, ila hekima miongoni mwao ni sifuri kabisa.
Wakiwa kwenye hii funga yao basi watatangaza dunia nzima, sisi tumefunga, hivyo wengine hawana haki ya kula mbele yetu. Inafikirisha
Kumbe mmefunga nje tu, na siyo ndani (Nafsi)pale muonapo mtu anakula mate yanawajaa.
Kweli kabisa chief na huo ndio ukweli, dini hii ya haki lazima ipigwe mawe lkn itazidi kusimama inshallahJamaa wanaumia sana aisee na hii yote ni hii Ramadhani kuheshimiwa na sehemu kubwa ya dunia,yani roho zinapwita wanakosa stamala,mibaba mizima mipasho kama akina Mama
Je umefuata sheria au hujafuata,, kama hujafuta hujatii mamlaka husika lazima uadhibiwe,,, shida iko wapi hapo?Sasa kama mnatwanga watu viboko kwa kula hadharani, mnawakamata , wakati huo huo ninyi kwenye nchi za Kikristu madai haki, hambaguliwi ?
Mauaji yasingekomaHawa jamaa huwa wanaijihisi kuwa wao ndio wanajua kumuabudu Mungu kuliko wengine, Mungu muumba wa dunia aliona mbali sana, kuwanyima mamlaka hawa jamaa.
Licha ya wengi wo kuisoma dini vilivyo, ila hekima miongoni mwao ni sifuri kabisa.
Wakiwa kwenye hii funga yao basi watatangaza dunia nzima, sisi tumefunga, hivyo wengine hawana haki ya kula mbele yetu. Inafikirisha
Kumbe mmefunga nje tu, na siyo ndani (Nafsi)pale muonapo mtu anakula mate yanawajaa.
Kuwapiga watu viboko na kuwapeleka seli unaita heshima?kama unadhani inaheshimika toka hapo Kisiwani ondoka Dar sogea hapo Kaskazini uone wanavyoiheshimu Kwaresma hiyo Ramadhan hakuna anayeijua.Jamaa wanaumia sana aisee na hii yote ni hii Ramadhani kuheshimiwa na sehemu kubwa ya dunia,yani roho zinapwita wanakosa stamala,mibaba mizima mipasho kama akina Mama
Tuweke taarifa sawa.Utawala mbona nafasi mnapewa. Mfano Urais ni zamu zamu na hata awamu hii anatawala muislam.
Waislam waliosoma wanapewa ajira tena za maana tu mfano hai ni hao kina professa janabi.
Huwezi kupewa ajira kwa elimu ya dini tu.
Hospitali hazitibu watu kwa kusoma dua za quran
Madaraja hayajengwi kwa kufata engineering za kwenye quran.
Waislamu ambao hawajasoma ndio walalamishi wa mambo ya ajira.
Shule bora nchini za Feza wamiliki wake ni waislamu wa uturuki. Ila cha kushangaza ukienda shule za Feza leo hii ukihesabu wanafunzi. Waislamu ni wachache kuliko wakristo.
Sasa kama hata shule za waislamu wenzenu zilizo bora hampeleki watoto wenu. Wanajaa wakristo kwenye shule zenu bora. Msaidiwaje ?
Elimu dunia mnaikwepa mnasema ni ukafiri. Ajira za maana Utapewa vipi
Haki ya CHUKI UBAGUZI NA UUAJIKweli kabisa chief na huo ndio ukweli, dini hii ya haki lazima ipigwe mawe lkn itazidi kusimama inshallah
Nadhani hayo ni maoni yako,,, unaweza leta ushahidiHaki ya CHUKI UBAGUZI NA UUAJI
Hawa ndio watawala. Walio ndani ya serikali. Lkn 60% hawana uwezo.Hawa jamaa huwa wanaijihisi kuwa wao ndio wanajua kumuabudu Mungu kuliko wengine, Mungu muumba wa dunia aliona mbali sana, kuwanyima mamlaka hawa jamaa.
Licha ya wengi wo kuisoma dini vilivyo, ila hekima miongoni mwao ni sifuri kabisa.
Wakiwa kwenye hii funga yao basi watatangaza dunia nzima, sisi tumefunga, hivyo wengine hawana haki ya kula mbele yetu. Inafikirisha
Kumbe mmefunga nje tu, na siyo ndani (Nafsi)pale muonapo mtu anakula mate yanawajaa.
So bwa Mohamed Abubakar Shekau unataka kusema kama hiyo 60% wakapewa waislam leo Watanzania tutaiona nchi ya maziwa na asali?Hawa ndio watawala. Walio ndani ya serikali. Lkn 60% hawana uwezo.
This 60% wanaostahili ni waislam.
Wana utoto mwingi, huenda hata Mungu anawashangaaWaislam wamepangisha free bila kulipia rent kwenye vichwa vya wakristo kila siku lazima zianzishwe mada kuhusu wao
Inaongea nini wewe? Sio Kila utopolo unaoitwa sheria basi ni sheria kwa sababu Kuna mwehu aliyetunga na amepitwa na wakati basi itakuwa binding hata kwa wasiohusika nayo. Ninyi mna hitilafu gani kwenye UBONGO wenu?Je umefuata sheria au hujafuata,, kama hujafuta hujatii mamlaka husika lazima uadhibiwe,,, shida iko wapi hapo?
Waislam wana utoto kuliko wakristo wanaoambiwa nyanyua simu juu tuombe hela ziingie m-pesa na wao wananyanyua kweli kuombewa?Wana utoto mwingi, huenda hata Mungu anawashangaa
Nimetoa fact. And in fact masikini huwa wanawachukia matajiri bila sababu.So bwa Mohamed Abubakar Shekau unataka kusema kama hiyo 60% wakapewa waislam leo Watanzania tutaiona nchi ya maziwa na asali?
View attachment 2947625
Huwa nasikitika sana na uwezo wenu wa kupambanua mambo.
He just find sympathyNi kweli mumeshinda vita vya utawala. Na kwa hapa nchini, licha cha kuwa na serikali isiyo na dini. Lkn serikali ni ya dini yenu. Kwa kuwa zaidi ya 90% wa tuminishi ni wa dini moja.
Na haya uliyoyaongea tujue ndio tasirwa ya mnavyotuona mkiwa ktk taasisi za umma.
Kosa letu ni nini hasa. Hadi nionyeshe chuki hizi.
Hali kama hii inaonyesha ni tuna ombwe la uongozi na kama sehemu ya jamii waislam ndio wenye uwezo wa kuziba ombwe hilo.
Kwani ndio jamii iliyobaki yenye binadamu wenye uaminifu na wema. Tunajisikia fahari kuwa na sifa hizo. Laiti tusingekuwa na tabia hizo bila ya shaka sote tungekuwa na mateso zaidi ya haya tutayoyapitia kwasababu tu sisi ni waislam.
Nasi hakuna tunaemuamini. Si ccm si chadema.
Ccm tunaona ni wa afadhali kwa kuwa tunaona nguvu ya uovu wao.
Soon tutasajili chama kipya, Chenye itikadi, falsafa na hejemonia MBADALA
Tunahitaji serikali ya dini zote
Utawala wa majimbo yenye uhuru kamili wa kujiamulia mambo yake wenyewe
Hejemonia yetu ni udaivasi (we are culture Diversity)
Mimi kama jose nipo Zanzibar apa sijawahi ona mzanzibar wa hivyoKama ushawahi kumuona muislam hasa wa zanzibar anaye jua kujenga hoja kitaalam kabisa nidai milion nakupa bure kabisa
Aisee umempa BAO la uso....Utawala mbona nafasi mnapewa. Mfano Urais ni zamu zamu na hata awamu hii anatawala muislam.
Waislam waliosoma wanapewa ajira tena za maana tu mfano hai ni hao kina professa janabi.
Huwezi kupewa ajira kwa elimu ya dini tu.
Hospitali hazitibu watu kwa kusoma dua za quran
Madaraja hayajengwi kwa kufata engineering za kwenye quran.
Waislamu ambao hawajasoma ndio walalamishi wa mambo ya ajira.
Shule bora nchini za Feza wamiliki wake ni waislamu wa uturuki. Ila cha kushangaza ukienda shule za Feza leo hii ukihesabu wanafunzi. Waislamu ni wachache kuliko wakristo.
Sasa kama hata shule za waislamu wenzenu zilizo bora hampeleki watoto wenu. Wanajaa wakristo kwenye shule zenu bora. Msaidiwaje ?
Elimu dunia mnaikwepa mnasema ni ukafiri. Ajira za maana Utapewa vipi