Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zanzibar sio nchi ya maziwa na asali!So bwa Mohamed Abubakar Shekau unataka kusema kama hiyo 60% wakapewa waislam leo Watanzania tutaiona nchi ya maziwa na asali?
View attachment 2947625
Huwa nasikitika sana na uwezo wenu wa kupambanua mambo.
Ukimsikia mtu anakuambia elimu ahera ndio muhim kwake zaid muacha alivyo usimlaumu.Utawala mbona nafasi mnapewa. Mfano Urais ni zamu zamu na hata awamu hii anatawala muislam.
Waislam waliosoma wanapewa ajira tena za maana tu mfano hai ni hao kina professa janabi.
Huwezi kupewa ajira kwa elimu ya dini tu.
Hospitali hazitibu watu kwa kusoma dua za quran
Madaraja hayajengwi kwa kufata engineering za kwenye quran.
Waislamu ambao hawajasoma ndio walalamishi wa mambo ya ajira.
Shule bora nchini za Feza wamiliki wake ni waislamu wa uturuki. Ila cha kushangaza ukienda shule za Feza leo hii ukihesabu wanafunzi. Waislamu ni wachache kuliko wakristo.
Sasa kama hata shule za waislamu wenzenu zilizo bora hampeleki watoto wenu. Wanajaa wakristo kwenye shule zenu bora. Msaidiwaje ?
Elimu dunia mnaikwepa mnasema ni ukafiri. Ajira za maana Utapewa vipi
Hawa ni wakristo ambao wengi ni wale waliingia kwa vyeti feki miaka ya Nyerere mwishoni ,wakini ni makabila mawili wanajijuaSo bwa Mohamed Abubakar Shekau unataka kusema kama hiyo 60% wakapewa waislam leo Watanzania tutaiona nchi ya maziwa na asali?
View attachment 2947625
Huwa nasikitika sana na uwezo wenu wa kupambanua mambo.
Kwaresma kwanza hawafungi pia wanashangaa iftar kubwa zinazoandaliwa😅😅😅.Jamaa wanaumia sana aisee na hii yote ni hii Ramadhani kuheshimiwa na sehemu kubwa ya dunia,yani roho zinapwita wanakosa stamala,mibaba mizima mipasho kama akina Mama