Kama Mungu angewapa waislamu mamlaka ya kuitawala dunia hivi ingekuwaje?

Dini ya haki ya haki lazima ipigwe mawe,ila unashabikia ulimwengu wa riba unakandamiza watu na kufanya watu wachache wawe matajiri.

Kwa sababu ya ujinga wako ,kama uislamu ungetawala pasingekuwa na umaskini wala riba zinazomaliza watumishi wa chini.
 
Ukimsikia mtu anakuambia elimu ahera ndio muhim kwake zaid muacha alivyo usimlaumu.
 
Jamaa wanaumia sana aisee na hii yote ni hii Ramadhani kuheshimiwa na sehemu kubwa ya dunia,yani roho zinapwita wanakosa stamala,mibaba mizima mipasho kama akina Mama
Kwaresma kwanza hawafungi pia wanashangaa iftar kubwa zinazoandaliwa😅😅😅.

Mtu anayekula nguruwe hawezi kufunga hata kidogo ...Yaani hakuna hata sehemu unaona wanakula pamoja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…