HORSE POWER
JF-Expert Member
- Feb 22, 2015
- 2,238
- 1,577
kama haikutokea mwanaume kujifungua,vile vile haikutoke mungu kuumbwa!kuhusu imani hata hao wano amini kuwa hakuna Mungu,kule kuamini kwao hivyo nayo pia ni imani!hakuna aliyo ona tukio la Big Bang!lakini wanaamini lilitokea,wakati wao imani yao imeazia hapo katika tukio la Big Bang!imania yangu mimi inaanza kabla ya tukio hilo.
ﺃَﻭَﻟَﻢْ ﻳَﺮَ ﺍﻟَّﺬِﻳﻦَ ﻛَﻔَﺮُﻭﺍ ﺃَﻥَّ ﺍﻟﺴَّﻤَﺎﻭَﺍﺕِ ﻭَﺍﻷَﺭْﺽَ
ﻛَﺎﻧَﺘَﺎ ﺭَﺗْﻘﺎً ﻓَﻔَﺘَﻘْﻨَﺎﻫُﻤَﺎ ﻭَﺟَﻌَﻠْﻨَﺎ ﻣِﻦَ ﺍﻟْﻤَﺎﺀ ﻛُﻞَّ
ﺷَﻲْﺀٍ ﺣَﻲٍّ ﺃَﻓَﻼ ﻳُﺆْﻣِﻨُﻮﻥَ )ﺍﻷﻧﺒﻴﺎﺀ 30 :21 ، (.
Have not those who disbelieve
seen (known) that the heavens and
the Earth were of one connected
entity, then We separated them
(from each other), and We made
every living thing out of water?
Will they not then believe? (Al-
Anbiya', 21: 30).
The first part of Verse 30: 21 tells us
that the beginning of creation was
by a great explosion that resulted
in the separation of parts from the
original single entity, or what
cosmologists describe as the big
bang.
The second part of the Verse is
about the relationship between life
and water. It basically points to the
fact that life depends on the
availability of water, which has
become a scientific given.
For decades, space programs have
had a major goal of investigating
whether there is water on other
planets or not, in order to begin the
exploration of whether there is life
on those planets or not. Several
verses of the Holy Quran have
stated clearly that every living
being has been created from water.
Water covers about seventy
percent of the surface of the Earth,
which has provided it with the
essential requirement of life.
Asante mkuu! Ngoja niiweke hiyo aya kwenye kiswahili:
Quran 21:30, "Hivi hawaoni wale waliokufuru,kwamba mbingu na ardhi vilikua vimeshikamana (vimegandamana) kisha tukaviambua (tukavilipua,tukaviachanisha),na tukajaalia kwa maji kila kitu kuwa hai,je hawaamini?"