Kama Mungu hayupo, umaarufu wake unatoka wapi?

Kama Mungu hayupo, umaarufu wake unatoka wapi?

Ameshaelezea nini?

Na unajuaje kwamba ni yeye aliyeelezea na si mtu tu kama wewe aliyeandika na kusema mungu kaelezea hivi?
Suala la kwamba ameeleza mwenyewe mungu au ni mtu tu kaandika hiyo ni mada nyengine kabisa.
 
Kumbe watu husema mungu kajipinga kwa mitazamo yao wenyewe tu!
 
Suala la kwamba ameeleza mwenyewe mungu au ni mtu tu kaandika hiyo ni mada nyengine kabisa.
Hujajibu swali, umelikimbia tu.

Ni mada nyingine kivipi wakati inatupeleka katika kuhoji uwepo wa mungu, na hii ndiyo hoja yetu kuu?

Mnaoamini mungu mnatumia hoja ya vitabu vya mungu kuonesha uwepo wa mungu.

Mimi nakuja kuhoji kwamba hivi ni vitabu vya mungu. Nauliza mnajuaje kwamba hivi ni vitabu vya mungu na kwamba havijaandikwa na watu kama sisi tu?

Swali hili ni muhimu. Kwa sababu inawezekana mungu hayupo. Katungwa tu kama Aristablus Elvis Musiba alivyomtunga Willy Gamba au Ian Fleming alivyomtunga James Bond.

Nauliza. Unahakikishaje hivi vitabu ni vya mungu na si vya watu tu?

Unakwepa kunijibu. Unaniambia swali hilo ni mada nyingine kabisa.

Usiseme swali hilo ni mada nyingine kabisa.

Sema huwezi kuwa na hakika kwamba vitabu hivi ni vya mungu na havijaandikwa na watu tu.

Vitabu hivi si vya mungu. Vimeandikwa na watu tu. Mungu huyo hayupo.

Vitabu hivi vingekuwa vya mungu visingekuwa na makosa ambayo vinayo sasa.
 
Hujajibu swali, umelikimbia tu.

Ni mada nyingine kivipi wakati inatupeleka katika kuhoji uwepo wa mungu, na hii ndiyo hoja yetu kuu?

Mnaoamini mungu mnatumia hoja ya vitabu vya mungu kuonesha uwepo wa mungu.

Mimi nakuja kuhoji kwamba hivi ni vitabu vya mungu. Nauliza mnajuaje kwamba hivi ni vitabu vya mungu na kwamba havijaandikwa na watu kama sisi tu?

Swali hili ni muhimu. Kwa sababu inawezekana mungu hayupo. Katungwa tu kama Aristablus Elvis Musiba alivyomtunga Willy Gamba au Ian Fleming alivyomtunga James Bond.

Nauliza. Unahakikishaje hivi vitabu ni vya mungu na si vya watu tu?

Unakwepa kunijibu. Unaniambia swali hilo ni mada nyingine kabisa.

Usiseme swali hilo ni mada nyingine kabisa.

Sema huwezi kuwa na hakika kwamba vitabu hivi ni vya mungu na havijaandikwa na watu tu.

Vitabu hivi si vya mungu. Vimeandikwa na watu tu. Mungu huyo hayupo.

Vitabu hivi vingekuwa vya mungu visingekuwa na makosa ambayo vinayo sasa.
Hujajibu swali, umelikimbia tu.

Ni mada nyingine kivipi wakati inatupeleka katika kuhoji uwepo wa mungu, na hii ndiyo hoja yetu kuu?

Mnaoamini mungu mnatumia hoja ya vitabu vya mungu kuonesha uwepo wa mungu.

Mimi nakuja kuhoji kwamba hivi ni vitabu vya mungu. Nauliza mnajuaje kwamba hivi ni vitabu vya mungu na kwamba havijaandikwa na watu kama sisi tu?

Swali hili ni muhimu. Kwa sababu inawezekana mungu hayupo. Katungwa tu kama Aristablus Elvis Musiba alivyomtunga Willy Gamba au Ian Fleming alivyomtunga James Bond.

Nauliza. Unahakikishaje hivi vitabu ni vya mungu na si vya watu tu?

Unakwepa kunijibu. Unaniambia swali hilo ni mada nyingine kabisa.

Usiseme swali hilo ni mada nyingine kabisa.

Sema huwezi kuwa na hakika kwamba vitabu hivi ni vya mungu na havijaandikwa na watu tu.

Vitabu hivi si vya mungu. Vimeandikwa na watu tu. Mungu huyo hayupo.

Vitabu hivi vingekuwa vya mungu visingekuwa na makosa ambayo vinayo sasa.
Sijakimbia swali ila hoja yetu ilikuwa sababu na mantiki ya mungu (mwenye uwezo wote,upendo wote na ujuzi wote) kuumba ulimwengu wa aina hii. Na pahali pa kujua hizo sababu na mantiki ni huko kwenye vitabu ambapo ndipo palipo elezwa kuwa mungu ana upendo,uwezo na ujuzi.
Sasa wewe tena unaanza kuhoji kama maneno yaliyo kwenye vitabu ni ya binadamu au ni ya mungu kweli?wakati huko kwenye ndipo palipo eleza kuwa mungu ana upendo na uwezo.
 
Hujajibu swali, umelikimbia tu.

Ni mada nyingine kivipi wakati inatupeleka katika kuhoji uwepo wa mungu, na hii ndiyo hoja yetu kuu?

Mnaoamini mungu mnatumia hoja ya vitabu vya mungu kuonesha uwepo wa mungu.

Mimi nakuja kuhoji kwamba hivi ni vitabu vya mungu. Nauliza mnajuaje kwamba hivi ni vitabu vya mungu na kwamba havijaandikwa na watu kama sisi tu?

Swali hili ni muhimu. Kwa sababu inawezekana mungu hayupo. Katungwa tu kama Aristablus Elvis Musiba alivyomtunga Willy Gamba au Ian Fleming alivyomtunga James Bond.

Nauliza. Unahakikishaje hivi vitabu ni vya mungu na si vya watu tu?

Unakwepa kunijibu. Unaniambia swali hilo ni mada nyingine kabisa.

Usiseme swali hilo ni mada nyingine kabisa.

Sema huwezi kuwa na hakika kwamba vitabu hivi ni vya mungu na havijaandikwa na watu tu.

Vitabu hivi si vya mungu. Vimeandikwa na watu tu. Mungu huyo hayupo.

Vitabu hivi vingekuwa vya mungu visingekuwa na makosa ambayo vinayo sasa.
Kiranga unapenda kweli hizi maada ndugu yangu, safi sana ni vyema kuwa huru katika imani na najua umefikiria sana hadi kufikia hapo, ila mimi sipo mbali sana na wewe, ninachoamini ni kuwa
"Mungu "yupo" ila katulia" hivyo nguvu yake na uwepo wake kwa sasa haupo" lakini siku ambayo atakuja kila mtu anastuka na kugundua nguvu mpya Ulimwenguni..
 
Sijakimbia swali ila hoja yetu ilikuwa sababu na mantiki ya mungu (mwenye uwezo wote,upendo wote na ujuzi wote) kuumba ulimwengu wa aina hii. Na pahali pa kujua hizo sababu na mantiki ni huko kwenye vitabu ambapo ndipo palipo elezwa kuwa mungu ana upendo,uwezo na ujuzi.
Sasa wewe tena unaanza kuhoji kama maneno yaliyo kwenye vitabu ni ya binadamu au ni ya mungu kweli?wakati huko kwenye ndipo palipo eleza kuwa mungu ana upendo na uwezo.
Katika logic hapo unafanya kosa moja linaitwa circular argument.

Nakuuliza, kwa nini mungu yupo? Unawezaje kuthibitisha kwamba mungu yupo?

Unaniambia vitabu vya mungu vimesema hivyo.

Nakuuliza unajuaje kwamba hivyo vitabu ni vya mungu na si vya watu tu?

Unaniambia kwa sababu vitabu hivi vimesema mungu ana upendo na uwezo.

Hapo unafanya non sequitur kama deus ex machina yako, baada ya kufanya circular argument.

Hujaweza kuthibitisha mungu yupo. Umekimbilia vitabu kama authority ya kuonesha mungu yupo kwa maana ya vimeandikwa na mungu.

Hujaonesha ni kwa nini vitabu hivi ni lazima viwe vya mungu. Hujaonesha kwa nini isiwezekane vitabu hivi viwe vimeandikwa na watu tu.

Nimeeleza kwamba vitabu hivi vina makosa kibao, na hivyo havina uungu, vimeandikwa na watu tu. Hii hoja umeiruka. Hujaijibu kabisa.

Hujajibu swali. Unahakikishaje kwamba hivi vitabu ni vya mungu na havijaandikwa na watu tu bila ya chochote kutoka kwa mungu?

Hujajibu swali hili.
 
Kiranga unapenda kweli hizi maada ndugu yangu, safi sana ni vyema kuwa huru katika imani na najua umefikiria sana hadi kufikia hapo, ila mimi sipo mbali sana na wewe, ninachoamini ni kuwa
"Mungu "yupo" ila katulia" hivyo nguvu yake na uwepo wake kwa sasa haupo" lakini siku ambayo atakuja kila mtu anastuka na kugundua nguvu mpya Ulimwenguni..
First thing first, sitaki kuamini. Nataka kujua.

Kuamini unaruhusiwa kuamini chochote. Amini the earth is flat. Amini Santa Claus lives on the North Pole. Amini Che Guevara yupo msukule Dodoma anaishi.

Unaruhusiwa. Kuna maazimo ya Umoja wa Mataifa yanayotetea haki yako ya kuamini, ilimradi huvunji sheria. Katiba ya Tanzania inatetea haki yako ya kuamini unachotaka, mradi huvunji sheria. Mimi mwenyewe natetea uhuru wako wa kuamini unachotaka, mradi huvunji sheria.

Lakini tukija kwenye ujuzi katika framework ya logical thinking, ukitaka kuanza kusema mungu yupo, lazima utoe sababu, ushahidi na uhakiki wa kueleweka.

So far hakuna aliyeweza kuonesha mungu yupo kwa minajili hiyo.
 
MWENYEZI MUNGU YUPO TENA KWA %100.
Na kama unaamini una akili basi MWENYEZI MUNGU YUPO.
Kama unaamini hauna akili BASI MWENYEZI MUNGU YUPO.
Na tukitaka kuuthibitisha uwepo wa akili tupasue kichwa tutazame kama tutakuta akili na UBONGO siyo akili.
Na je akili zipo wapi?
 
Katika logic hapo unafanya kosa moja linaitwa circular argument.

Nakuuliza, kwa nini mungu yupo? Unawezaje kuthibitisha kwamba mungu yupo?

Unaniambia vitabu vya mungu vimesema hivyo.

Nakuuliza unajuaje kwamba hivyo vitabu ni vya mungu na si vya watu tu?

Unaniambia kwa sababu vitabu hivi vimesema mungu ana upendo na uwezo.

Hapo unafanya non sequitur kama deus ex machina yako, baada ya kufanya circular argument.

Hujaweza kuthibitisha mungu yupo. Umekimbilia vitabu kama authority ya kuonesha mungu yupo kwa maana ya vimeandikwa na mungu.

Hujaonesha ni kwa nini vitabu hivi ni lazima viwe vya mungu. Hujaonesha kwa nini isiwezekane vitabu hivi viwe vimeandikwa na watu tu.

Nimeeleza kwamba vitabu hivi vina makosa kibao, na hivyo havina uungu, vimeandikwa na watu tu. Hii hoja umeiruka. Hujaijibu kabisa.

Hujajibu swali. Unahakikishaje kwamba hivi vitabu ni vya mungu na havijaandikwa na watu tu bila ya chochote kutoka kwa mungu?

Hujajibu swali hili.
First thing first, sitaki kuamini. Nataka kujua.

Kuamini unaruhusiwa kuamini chochote. Amini the earth is flat. Amini Santa Claus lives on the North Pole. Amini Che Guevara yupo msukule Dodoma anaishi.

Unaruhusiwa. Kuna maazimo ya Umoja wa Mataifa yanayotetea haki yako ya kuamini, ilimradi huvunji sheria. Katiba ya Tanzania inatetea haki yako ya kuamini unachotaka, mradi huvunji sheria. Mimi mwenyewe natetea uhuru wako wa kuamini unachotaka, mradi huvunji sheria.

Lakini tukija kwenye ujuzi katika framework ya logical thinking, ukitaka kuanza kusema mungu yupo, lazima utoe sababu, ushahidi na uhakiki wa kueleweka.

So far hakuna aliyeweza kuonesha mungu yupo kwa minajili hiyo.
Narudia tena..tulikuwa tukijadili sababu na mantiki ya mungu kuumba ulimwengu kama huu. Na wewe hoja ni kwamba hakuna mungu kwa sababu kama mungu ana uwezo wote,ujuzi wote na upendo wote hana sababu na mantiki ya kuumba ulimwengu kama huu. Na ndiyo maana hayo uliyokuja kuniuliza sasa nikakwambia ni nje ya kile tulichokuwa tunakijadili ila sijakataa kujibu.
Kama unataka tuache kuendelea kujadili sababu na mantiki ya mungu kuumba ulimwengu kama huu na kujadili hayo unayotaka basi mie sina tabu.
 
First thing first, sitaki kuamini. Nataka kujua.

Kuamini unaruhusiwa kuamini chochote. Amini the earth is flat. Amini Santa Claus lives on the North Pole. Amini Che Guevara yupo msukule Dodoma anaishi.

Unaruhusiwa. Kuna maazimo ya Umoja wa Mataifa yanayotetea haki yako ya kuamini, ilimradi huvunji sheria. Katiba ya Tanzania inatetea haki yako ya kuamini unachotaka, mradi huvunji sheria. Mimi mwenyewe natetea uhuru wako wa kuamini unachotaka, mradi huvunji sheria.

Lakini tukija kwenye ujuzi katika framework ya logical thinking, ukitaka kuanza kusema mungu yupo, lazima utoe sababu, ushahidi na uhakiki wa kueleweka.

So far hakuna aliyeweza kuonesha mungu yupo kwa minajili hiyo.
Nakumbuka mwalimu wangu ulinifundisha kuwa kuna imani na imani potofu.
 
Katika logic hapo unafanya kosa moja linaitwa circular argument.

Nakuuliza, kwa nini mungu yupo? Unawezaje kuthibitisha kwamba mungu yupo?

Unaniambia vitabu vya mungu vimesema hivyo.

Nakuuliza unajuaje kwamba hivyo vitabu ni vya mungu na si vya watu tu?

Unaniambia kwa sababu vitabu hivi vimesema mungu ana upendo na uwezo.

Hapo unafanya non sequitur kama deus ex machina yako, baada ya kufanya circular argument.

Hujaweza kuthibitisha mungu yupo. Umekimbilia vitabu kama authority ya kuonesha mungu yupo kwa maana ya vimeandikwa na mungu.

Hujaonesha ni kwa nini vitabu hivi ni lazima viwe vya mungu. Hujaonesha kwa nini isiwezekane vitabu hivi viwe vimeandikwa na watu tu.

Nimeeleza kwamba vitabu hivi vina makosa kibao, na hivyo havina uungu, vimeandikwa na watu tu. Hii hoja umeiruka. Hujaijibu kabisa.

Hujajibu swali. Unahakikishaje kwamba hivi vitabu ni vya mungu na havijaandikwa na watu tu bila ya chochote kutoka kwa mungu?

Hujajibu swali hili.
hawa tatizo wanajichanganya na wanashindwa kujiuliza. kama kweli mungu yupo na yeye ndio aliumba vitu vyote ilikuwaje alishindwa kuandika biblia hadi binadamu wakaja kumuandikia?
 
Kuna watu kama siwajinga wanatumwa nashetani kumsaidia kazi zake Kusema Mungu hayupo wakati unapumua unaongea unatembea unatumia nguzu gani punzi gani unatumia wanaokufa kwanini wafe? Bila Mungu kukubali uishi auwezi kuishi je milima ilitokawapi miti wanyama bahari mito mikubwa bado unashindwa kuona uwepo waMungu unasema Mungu ninadharia kwakeli unaitaji maombi sio kingine
kama kweli mungu yupo inakuwaje vitu vingine vinamshinda na wakati huo aliviumba yeye?
 
Cyo kila ambacho hakionekani au huwez kuthibitisha bac hakipo.iko siku haya yote yatakwisha kila ulimi utakiri uwepo wake
 
MWENYEZI MUNGU YUPO TENA KWA %100.
Na kama unaamini una akili basi MWENYEZI MUNGU YUPO.
Kama unaamini hauna akili BASI MWENYEZI MUNGU YUPO.
Na tukitaka kuuthibitisha uwepo wa akili tupasue kichwa tutazame kama tutakuta akili na UBONGO siyo akili.
Na je akili zipo wapi?
na unaweza ukawa na akili lakini akili zako zikawa hazina akili.
 
Cyo kila ambacho hakionekani au huwez kuthibitisha bac hakipo.iko siku haya yote yatakwisha kila ulimi utakiri uwepo wake
hivi hii dunia kwa jinsi ilivyo jaa uongo unaweza kumuani vipi mtu bila kukupa uthibitisho?
 
First thing first, sitaki kuamini. Nataka kujua.

Kuamini unaruhusiwa kuamini chochote. Amini the earth is flat. Amini Santa Claus lives on the North Pole. Amini Che Guevara yupo msukule Dodoma anaishi.

Unaruhusiwa. Kuna maazimo ya Umoja wa Mataifa yanayotetea haki yako ya kuamini, ilimradi huvunji sheria. Katiba ya Tanzania inatetea haki yako ya kuamini unachotaka, mradi huvunji sheria. Mimi mwenyewe natetea uhuru wako wa kuamini unachotaka, mradi huvunji sheria.

Lakini tukija kwenye ujuzi katika framework ya logical thinking, ukitaka kuanza kusema mungu yupo, lazima utoe sababu, ushahidi na uhakiki wa kueleweka.

So far hakuna aliyeweza kuonesha mungu yupo kwa minajili hiyo.
Duh, subiri Mungu atakuja soon utamuona, naamini utafurah na ubish utakuisha we kiranga.[emoji3]
 
Back
Top Bottom