Kama mwanamke hafiki kileleni tatizo si la mwanaume

Kama mwanamke hafiki kileleni tatizo si la mwanaume

Dakika 10 mwanamke akojoe mara 3??? Uongooooo tena uongooo mkubwa wanawake watakuja kuthibitisha hili
Wapuuzie hao. Hawa ndio hawajui hata mwanamke kitu wanawake wanaamua kuwaigizia wanaenda kujitamba kijiweni. Kumbe mwanamke wake akikaa na mshoga zake wanamcheka. Wanaume wanaojisifia sifia hamnaga kitu empty set
 
Nakumbuka nilikuaga nasimamia show kwa mdada mmoja mpaka namkojoza,round ya kwanza natumia dakika 20+....lakini huyu nilienae sasa dakika 10 tayari kakojoa bao tatu mpaka tano.

Sent from my HUAWEI CUN-L01 using JamiiForums mobile app
Dakika kumi Mara 10...kila dakika [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]..

Nimecheeeeeka mpaka.nimecheka teeeeeena
 
Mwanamke wangu wa kwanza kumkojoza,nilikuwa na miaka 18 yeye alikuwa na miaka 27 bahati mzuri mimi nilikuwa tall hlf na mwili mkubwa hlf yeye alikuwa mkubwa hlf ana mwili mdogo tulianza na dada dada dada dada mpk nikamgonga.

Nikiri tu kulala na mwanamke ambaye anajua anataka nini kwenye mapenzi na anaujua mwili wake vzr kuna boost sana confidence ya mwanaume.Nilikuwa mdogo sijui mapenzi,sijui mwanamke akikojoa anakuaje kwanza nilikuwa naogopa kulala nae ataniona Lena lkn jinsi alivyokuwa anaongoza game mixer kuniambia kitu gani ana enjoy basi nikajikuta najiamini sana Nakuenjoy sex sana Yule anifundisha na kuniaminisha naweza kulala na mwanamke mkubwa na nikamridhisha bila shida ile memory imekuwa guide kwangu kwenye maisha ya mapenzi hadi ukubwani.Nilikuwa nikitoka pale najiona kabisa hivi vidagaa vya size yangu havinipi tabu...

Naunga mkono Hoja mwanamke asiyejua anchokitaka na asiyeweza kuwasilisha mahitaji yake kwenye mapenzi ni mzigo.Tuna vitu vingi vya kuwaza plus mapenzi yanakamilika km kuna good communication ya watu wawili
 
Mara una pump, Mara siku zako zimepitiliza [emoji23][emoji23][emoji23]! Wewe Ni she-male ?

Ukiwa muongo uwe na kumbukumbu
Kuwa muongo ni kazi sana yaani... UNAHITAJI UWONGO KUMI KUTETEA UWONGO MMOJA. NA HAYO MAUWONGO KUMI KILA MMOJA UNAHITAJI TENA KUMI...!!
 
Wapuuzie hao. Hawa ndio hawajui hata mwanamke kitu wanawake wanaamua kuwaigizia wanaenda kujitamba kijiweni. Kumbe mwanamke wake akikaa na mshoga zake wanamcheka. Wanaume wanaojisifia sifia hamnaga kitu empty set
Mwanaume ata kama asimamishi utaskia anajitapa ooh nasimamia show lisaa🤣🤣🤣🤣🤣
 
She is men [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mwanaume ata kama asimamishi utaskia anajitapa ooh nasimamia show lisaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaah lol
 
Back
Top Bottom