Kama mwanaume: Jitahidi mazingira yako ya nyumbani yawe bora kuliko mazingira ya nyumbani kwa mke wako

Mkuu,una maoni gani kitalaam hapo kwenye kuoa au kuolewa na maskini?
 
Mtoa mada umeongea kweli tupu, situations Kama hii huu inapelekea kuzuuka kwa tatizo la inferiority..kila atachofanya mwanamke ataambiwa anajidai kisa kwenu mna hela
 
Mkuu i never took a penny kutoka kwa huyo mzee. Kwa kipindi chote amekua ankinishawishi nikamsaidie majukumu ktk moja ya shughuli zake nimekua nikimkatalia sababu i know consequencies.
 
Mkuu,una maoni gani kitalaam hapo kwenye kuoa au kuolewa na maskini?

Inategemeana na Akili ya huyo muolewaji/muoaji.
Mimi vigezo vya kuoa ni Kama ifuatavyo
1. Upendo
2. Akili.
3. Tabia njema
4. Uzuri.

Pesa tutatafuta.
Ila hayo manne hapo juu huwezi kuyatafuta
 
Tatizo wanawake wana turoga tunasahau kwetu.
 
Inategemeana na Akili ya huyo muolewaji/muoaji.
Mimi vigezo vya kuoa ni Kama ifuatavyo
1. Upendo
2. Akili.
3. Tabia njema
4. Uzuri.

Pesa tutatafuta.
Ila hayo manne hapo juu huwezi kuyatafuta
Sawamtaalamu,Mimi nitakata hiyo number 4.
 
Nachojua na kuamini mimi kama mimi ni kwamba unatakiwa kumzidi mkeo kila hali na kila kitu.
Usikubali kuwa duni kwa mwanamke ulienae.
N:B Haya ni mawazo yangu sio ya kila mtu.
 
Mkuu mkweo wewe ni kama mkwe wangu mimi,nashukuru Mungu yule mzee hana tabu kabisa.

Tukikaa tunapiga stori za maisha na huwa ananipa connection za kuhakikisha silali njaa mjini.

Tukikaa huwa ananipa stori za maisha na tabia za ndugu wengi wanavyorudisha nyuma na namna ya kukabiliana na ndugu hao.

Sometimes nafulia sina hela ila namuambia asiseme kwao na yeye huwa hasemi tunaishi kibingwa hivyo hivyo.

Haata mama mkwe wangu huwa anapenda nifanikiwe na hunitonya michongo kadhaa ya biashara,so mkuu tunafanana.

Ninachotaka kusema ni kwamba kuna familia zinajiweza lakini ni wazungu na wana roho za utu sio roho za masemango na ubinafsi.

.familia zinazojiweza zenye utu hizi unaweza kuoa na wala Hazina shida,ila zile za ubinafsi na masemango aise ni shida.

Ushauri wangu.

Kama unaoa fanilia ya wenye kipato hakikisha hauangalii tabia za mke tu angalia na wazee kwani hao baadae wataamua future ya wajukuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…