'Kama mwanaume kweli nipige,,'hii kauli ingenifanya niwe polisi saivi

'Kama mwanaume kweli nipige,,'hii kauli ingenifanya niwe polisi saivi

Paul dybala

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2023
Posts
524
Reaction score
2,097
Wakuu...kuhusu ndoa Nathani sio kwa ajili yangu mimi nibakie single for life,imagine nina hasira to the maximum halafu mwanamke anaongea kama kasuku kunidharau mimi na kuushusha uanaume wangu..aisee leo mungu ameninusuru na polisi eti kijitu kinanisimamia halafu kimeshanitukana kinaniambia nisubutu kumpiga kama mimi mwanaume kweli...wakuu...mtama ambao ningempiga angetua chini na zile pavings Nathani angevunjika mbavu au mkono kama sio mguu...wenye ndoa zenu ishini nao kwa akili sana ...leo nimemtimua kama paka mwizi kwa kurusha virago vyake njee ...fainaly niko huru..
 
Wakuu...kuhusu ndoa Nathani sio kwa ajili yangu mimi nibakie single for life,imagine nina hasira to the maximum halafu mwanamke anaongea kama kasuku kunidharau mimi na kuushusha uanaume wangu..aisee leo mungu ameninusuru na polisi eti kijitu kinanisimamia halafu kimeshanitukana kinaniambia nisubutu kumpiga kama mimi mwanaume kweli...wakuu...mtama ambao ningempiga angetua chini na zile pavings Nathani angevunjika mbavu au mkono kama sio mguu...wenye ndoa zenu ishini nao kwa akili sana ...leo nimemtimua kama paka mwizi kwa kurusha virago vyake njee ...fainaly niko huru..
Pole sana mkuu. Ndoa ni uhuni mamboleo. Hongera kwa kujitoa kwenye kifungo cha maisha.
 
Wanawake wanatofautiana aisee. Kuna ambao wana maudhi yao ila kuna level akifika akakukera kuna sura ukishaiweka ukamtazama usoni na macho makali anaangalia chini na kuanza kujiliza basi unajiondokea ukirudi baadae utakuta tu kuna kitu kakufanyia kukuonyesha kuwa alikosea halafu kuna hawa sasa wa mleta mada, ana maneno makaliii ambayo usipokuwa makini unaua.
 
Wanawake wanatofautiana aisee. Kuna ambao wana maudhi yao ila kuna level akifika akakukera kuna sura ukishaiweka ukamtazama usoni na macho makali anaangalia chini na kuanza kujiliza basi unajiondokea ukirudi baadae utakuta tu kuna kitu kakufanyia kukuonyesha kuwa alikosea halafu kuna hawa sasa wa mleta mada, ana maneno makaliii ambayo usipokuwa makini unaua.
Mkuu kuna baadhi ya wanawake ambao ni zaidi ya vichaa. Hata umtolee bunduki haogopi hata kidogo.....anakusogelea tu na usipokuwa makini hata unaweza ukapigwa wewe. Wanawake wengine ni zaidi ya mashetani. Ndoa ni UTUMWA. Kataa ndoa.

Kuna wakati inabidi tumuelewe yule jamaa yetu wa Kigamboni aliyemuua mke wake na kumchoma na kiroba cha mkaa. Hawa viumbe sometimes wanaudhi kuliko maelezo.
 
Wakuu...kuhusu ndoa Nathani sio kwa ajili yangu mimi nibakie single for life,imagine nina hasira to the maximum halafu mwanamke anaongea kama kasuku kunidharau mimi na kuushusha uanaume wangu..aisee leo mungu ameninusuru na polisi eti kijitu kinanisimamia halafu kimeshanitukana kinaniambia nisubutu kumpiga kama mimi mwanaume kweli...wakuu...mtama ambao ningempiga angetua chini na zile pavings Nathani angevunjika mbavu au mkono kama sio mguu...wenye ndoa zenu ishini nao kwa akili sana ...leo nimemtimua kama paka mwizi kwa kurusha virago vyake njee ...fainaly niko huru..
Watu tushaambiwa zaidi ya hayo na tunadunda kama kawa, kosa pekee litakalonifanya niachane na mwanamke ni usaliti tu hayo mengine Yako ndani ya uwezo wangu.
 
Wakuu...kuhusu ndoa Nathani sio kwa ajili yangu mimi nibakie single for life,imagine nina hasira to the maximum halafu mwanamke anaongea kama kasuku kunidharau mimi na kuushusha uanaume wangu..aisee leo mungu ameninusuru na polisi eti kijitu kinanisimamia halafu kimeshanitukana kinaniambia nisubutu kumpiga kama mimi mwanaume kweli...wakuu...mtama ambao ningempiga angetua chini na zile pavings Nathani angevunjika mbavu au mkono kama sio mguu...wenye ndoa zenu ishini nao kwa akili sana ...leo nimemtimua kama paka mwizi kwa kurusha virago vyake njee ...fainaly niko huru..
Manzi umeipelekea moto wa jehanamu usiku kucha atapata wapi muda wa kusema hayo maneno, tule nyuchi bila huruma kuhepusha dharau.
 
Wakuu...kuhusu ndoa Nathani sio kwa ajili yangu mimi nibakie single for life,imagine nina hasira to the maximum halafu mwanamke anaongea kama kasuku kunidharau mimi na kuushusha uanaume wangu..aisee leo mungu ameninusuru na polisi eti kijitu kinanisimamia halafu kimeshanitukana kinaniambia nisubutu kumpiga kama mimi mwanaume kweli...wakuu...mtama ambao ningempiga angetua chini na zile pavings Nathani angevunjika mbavu au mkono kama sio mguu...wenye ndoa zenu ishini nao kwa akili sana ...leo nimemtimua kama paka mwizi kwa kurusha virago vyake njee ...fainaly niko huru..
Kwani hamkufunga ndoa!? Kama mlifunga ndoa, bado hujawa huru. Kifuatacho hutapenda.
 
imagine nina hasira to the maximum halafu mwanamke anaongea kama kasuku kunidharau mimi na kuushusha uanaume wangu

.mtama ambao ningempiga angetua chini na zile pavings Nathani ANGEFUNJIKA MBAFU au mkono kama sio mguu...
Nilikuwa na mpango wa kuacha punyeto ili nioe sasa nimeghairi SIACHI PUNYETO SIOI.
 
Ungemfanya hivi
 

Attachments

  • IMG_7732.jpeg
    IMG_7732.jpeg
    68.5 KB · Views: 4
Wakuu...kuhusu ndoa Nathani sio kwa ajili yangu mimi nibakie single for life,imagine nina hasira to the maximum halafu mwanamke anaongea kama kasuku kunidharau mimi na kuushusha uanaume wangu..aisee leo mungu ameninusuru na polisi eti kijitu kinanisimamia halafu kimeshanitukana kinaniambia nisubutu kumpiga kama mimi mwanaume kweli...wakuu...mtama ambao ningempiga angetua chini na zile pavings Nathani angevunjika mbavu au mkono kama sio mguu...wenye ndoa zenu ishini nao kwa akili sana ...leo nimemtimua kama paka mwizi kwa kurusha virago vyake njee ...fainaly niko huru..
Kama ujampiga we ni demuuu.kwa mujib wa mkeo lakin me nimenukuu usije nitukana maana nyie wanawake mna mdomo
 
Back
Top Bottom