'Kama mwanaume kweli nipige,,'hii kauli ingenifanya niwe polisi saivi

'Kama mwanaume kweli nipige,,'hii kauli ingenifanya niwe polisi saivi

Yaan we Dada umejitakia mwenyewe kuwa mwanamke ..si ungempiga tuh huo mtama ili ubaki kua mwanaume ...umeogopa kuvunja perving unasingizia mbavu
 
Wakuu...kuhusu ndoa Nathani sio kwa ajili yangu mimi nibakie single for life,imagine nina hasira to the maximum halafu mwanamke anaongea kama kasuku kunidharau mimi na kuushusha uanaume wangu..aisee leo mungu ameninusuru na polisi eti kijitu kinanisimamia halafu kimeshanitukana kinaniambia nisubutu kumpiga kama mimi mwanaume kweli...wakuu...mtama ambao ningempiga angetua chini na zile pavings Nathani angevunjika mbavu au mkono kama sio mguu...wenye ndoa zenu ishini nao kwa akili sana ...leo nimemtimua kama paka mwizi kwa kurusha virago vyake njee ...fainaly niko huru..
Pole sana Baharia, taratibu utazoea hizi mbilinge[emoji23][emoji23]
 
Mpe talaka achana nae mkuu mapema. Fanya hilo ndani ya wiki hii, yani wiki isipite. Utakuja kunishukuru baadae sana.
 
Wakuu...kuhusu ndoa Nathani sio kwa ajili yangu mimi nibakie single for life,imagine nina hasira to the maximum halafu mwanamke anaongea kama kasuku kunidharau mimi na kuushusha uanaume wangu..aisee leo mungu ameninusuru na polisi eti kijitu kinanisimamia halafu kimeshanitukana kinaniambia nisubutu kumpiga kama mimi mwanaume kweli...wakuu...mtama ambao ningempiga angetua chini na zile pavings Nathani angevunjika mbavu au mkono kama sio mguu...wenye ndoa zenu ishini nao kwa akili sana ...leo nimemtimua kama paka mwizi kwa kurusha virago vyake njee ...fainaly niko huru..
subiri aje na wasuluhishi
 
Wakuu...kuhusu ndoa Nathani sio kwa ajili yangu mimi nibakie single for life,imagine nina hasira to the maximum halafu mwanamke anaongea kama kasuku kunidharau mimi na kuushusha uanaume wangu..aisee leo mungu ameninusuru na polisi eti kijitu kinanisimamia halafu kimeshanitukana kinaniambia nisubutu kumpiga kama mimi mwanaume kweli...wakuu...mtama ambao ningempiga angetua chini na zile pavings Nathani angevunjika mbavu au mkono kama sio mguu...wenye ndoa zenu ishini nao kwa akili sana ...leo nimemtimua kama paka mwizi kwa kurusha virago vyake njee ...fainaly niko huru..
Kha! Broo, umeshindwaje hapo? Wewe uchopaswa kufanya sio kumpiga bali ungemuonesha tu kile kinachokufanya ww uitwe mwanaume. Just like that - very simple.
 
Wakuu...kuhusu ndoa Nathani sio kwa ajili yangu mimi nibakie single for life,imagine nina hasira to the maximum halafu mwanamke anaongea kama kasuku kunidharau mimi na kuushusha uanaume wangu..aisee leo mungu ameninusuru na polisi eti kijitu kinanisimamia halafu kimeshanitukana kinaniambia nisubutu kumpiga kama mimi mwanaume kweli...wakuu...mtama ambao ningempiga angetua chini na zile pavings Nathani angevunjika mbavu au mkono kama sio mguu...wenye ndoa zenu ishini nao kwa akili sana ...leo nimemtimua kama paka mwizi kwa kurusha virago vyake njee ...fainaly niko huru..
Waswahili wanasema ukiona mmbwa wako anakubwekea ujue amepata mtu mwingine anayemlisha
 
Ili kuweza kuishi na mwanamke lazma mwanaume uwe chizi na wala siyo kutumia akili, wapo wengi wamejifanya kutumia akili lakini bado wameishia kwenye msongo wa mawazo na matatizo mengi yanayosababishwa na kiumbe mwanamke.Zamani tulisoma kwenye somo la bailojia juu ya eco system kama sikosei hivyo mimi nadhani wanawake ni secret project ya kupunguza idadi ya wanaume duniani.
Mwisho kwa mpiga puli we endelea na puli kwani upo salama hutokufa kwa puli ila mwanamke atakuwa.
Kwa walio single abaki hivyo hivyo kwani hawataki kufa watafurahia maisha.
Na wale kataa ndoa hiyo ni njia sahihi isiyo na mashaka yoyote fuate na utafanikiwa.
 
Haka ka project ka ndoa sio kazuri tukatae tu hizo ndoa sio bure mleta mada yamemkuta siku ya Yanga kama yalionikuta mimi
Mimi mwenyewe siku ya Mwananchi day, nimejihimu kuwahi baada ya kuangalia kipindi kimoja ili akafurahi lakini niliyokutana nayo hakika angekuwa amekata moto sasa hivi na kamimba kake ka mwezi mmoja. Kwa hasira nilimkaba kwa mkono mmoja huku nimemkandamiza kitandani na kuchapa makofi mawili ya nguvu usoni nikamuachia na kutoka nje. Jana anaanza kuniomba msamaha na sms nyiingi mpaka kumshirikisha mkuu wangu wa kazi coz wanajuana
 
Back
Top Bottom