Kama Mwenyekiti wa Chama atajihusisha na Ugaidi na chama hakifutwi, kosa gani linaweza kusababisha chama kufutwa?

Mbowe kaponzwa na kufukuza wale wa dada, walikuwa wanatembea na siri za chadema.Chezea kina Delila, muulize I Somson
 
Huyo ni Mbowe bhana! Kiongozi wa chama kwani umeambiwa CDM inashabikia ugaidi? Yaani baba wa familia ukiwa jambazi ukafungwa, familia nzima ifungwe?
 
Wanaouliza kwa nini Mbowe amekamatwa sasa na si vinginevyo wanasahau kuwa Mbowe, Lema, Meya wa zamani Ubungo Boniface walikamatwa mara baada ya matokeo ya uchaguzi mkuu kutangazwa na kabla Rais hajaapishwa kwa kuchochea maandamano yasiyo na kikomo kupinga matokeo. Mambosasa alihojiwa na vituo vya ITV na TBC na kutoa madai hayo hayo ya ugaidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…