Kama mzazi, binti yako ndio amekuja kukuambia kuwa amepata mchumba, ni swali gani la kwanza utamuuliza binti yako?

Swali ni moja tu...UNAMPENDA?.
kama ni ndio mlete hapa nimuone...jamaa akija nitampa risala ndefu hadi ashangae
 
Swali la.kwanza kutoka kwa mama tangu.
Anafanya kazi gani?
Swali la pili...kabila gani?
 
Nduguzangu tukimwayi atapoma 🙆
 
Huyo ndiyo mwanaume, maswali mengine ya kabila, dini ni ya kipuuzi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…