Kama mzee Makamba alirekebishwa kauli, kwanini kauli nzito ya Zitto dhidi ya TISS imebarikiwa?

Kama mzee Makamba alirekebishwa kauli, kwanini kauli nzito ya Zitto dhidi ya TISS imebarikiwa?

Zitto mwanasiasa kiraka, yupo yupo tu, hata sishangai wasipomfanya chochote sababu wanajua wakimuhitaji wakati mwingine kwa mambo yao watampata.
 
TISS ni takataka inayokuwezesha wewe kupata usingizi na kuamka salama na kwenda kijiweni kupiga soga bila kuporwa wala tishio la usalama.

Ni taasisi yetu lazima tuienzi na kuisitiri sambamba na kuiboresha penye mapungufu
Usingizi kwa wezi na majambazi ya CCM, ilitumika na dikteta Magufuli kuua, kuteka, kupora pesa na kuwalinda wapumbavu kama Musiba, Sabaya na Makonda
 
Nashauri ZZK aongeze kupaza sauti ili hata watanzania wajinga wapatao 89%ya population waelewe kuwa Magu hakuwa mtu sahihi kutawala nchi yetu
Hakuna Mtanzania anayekubali haya matusi yako ya jumla jumla....Wewe sio Mtanzania.Haiwezekani ukawatukana ati kwasababu Sisi Watanzani ndie tulie mchagua, halafu hapohapo ututukane tena kuwa hatukuchagua mtu sahihi kwaajili ya nani?

Wazungu mna matatizo sana.

Ni Hayati John Pombe Magufuli. Tambua hilo.
 
Usingizi kwa wezi na majambazi ya CCM, ilitumika na dikteta Magufuli kuua, kuteka, kupora pesa na kuwalinda wapumbavu kama Musiba, Sabaya na Makonda
Ukabila hutasikiwa watu wa kanda Fulani wanatukanwa maana ndo wapo huku
 
TISS ni takataka inayokuwezesha wewe kupata usingizi na kuamka salama na kwenda kijiweni kupiga soga bila kuporwa wala tishio la usalama.

Ni taasisi yetu lazima tuienzi na kuisitiri sambamba na kuiboresha penye mapungufu
Tafuta muda wako mzuri kisha soma Makala zote za Dr. Noordin Jella ambazo ameandika kuhusiana na hicho kitu unachokipigia debe hapa.
Soma makala zake kwenye tovuti yake: www.noordinjella.livejournal.com
Au unaweza uka-google jina lake.
 
Jana katika ibada ya kumuaga mpendwa wetu Bernard Kamilius Membe pale Karimjee, watu mbakimbali walipata fursa ya kutoa maneno ya rambirambi kwa familia na jamaa wa Marehemu Membe.

Kiongozi wa ACT Wazalendo alipata fursa ya kutoa rambirambi zake. Lakini ndani ya content aliyoisoma pale aliituhumu idara kuhusika nankuruhusu rasilimali zake kutumika kumchafua Membe na watu wengine.

Kauli hii, inazua sintofahamu ya ujasiri na kusudio la Zitto dhidi ya TISS. Ikumbukwe kwamba kuidhalilisha hadharani TISS ni kuidhalilisha nchi. Na bahati mbaya hawa jamaa huwa hawana msemaji wa kujibu hoja za kisiasa wanazotuhumiwa nao.

Mzee Makamba alimnanga Magufuli kwa kusema Wazuri hawafi mapema na aliposimama Capo akamrekebisha kuwa mzee aliteleza ulimi. Lakini jana mbele ya CIC zimetolewa tuhuma nzito dhidi ya taasisi nyeti nchini na hakuna kanusho wala rekebisho dhidi ya udhalilishaji huo.

Mtu kama Zitto siyo asset wa kuaminiwa kwenye nafasi yeyote nchini kwa sababu anaonesha wazi hana mahaba na Nchi yetu

Kuwa na mahaba na nchi sio kuficha udhaifu wa taasisi yoyote ya nchi. Usichanganye nchi na taasisi, maana hizi taasisi zimefikia mahali zimeanza kutumikia uhuni na sio majukumu yao.
 
Jana katika ibada ya kumuaga mpendwa wetu Bernard Kamilius Membe pale Karimjee, watu mbakimbali walipata fursa ya kutoa maneno ya rambirambi kwa familia na jamaa wa Marehemu Membe.

Kiongozi wa ACT Wazalendo alipata fursa ya kutoa rambirambi zake. Lakini ndani ya content aliyoisoma pale aliituhumu idara kuhusika nankuruhusu rasilimali zake kutumika kumchafua Membe na watu wengine.

Kauli hii, inazua sintofahamu ya ujasiri na kusudio la Zitto dhidi ya TISS. Ikumbukwe kwamba kuidhalilisha hadharani TISS ni kuidhalilisha nchi. Na bahati mbaya hawa jamaa huwa hawana msemaji wa kujibu hoja za kisiasa wanazotuhumiwa nao.

Mzee Makamba alimnanga Magufuli kwa kusema Wazuri hawafi mapema na aliposimama Capo akamrekebisha kuwa mzee aliteleza ulimi. Lakini jana mbele ya CIC zimetolewa tuhuma nzito dhidi ya taasisi nyeti nchini na hakuna kanusho wala rekebisho dhidi ya udhalilishaji huo.

Mtu kama Zitto siyo asset wa kuaminiwa kwenye nafasi yeyote nchini kwa sababu anaonesha wazi hana mahaba na Nchi yetu
Siyo TUHUMA BALI NI UKWELI MTUPU 100% tena mengine kayasahau.
 
Zitto ndie limekuwa Kafara safari hii. Serikali haiwezi kujiondoa na yaliyotokea, kwani wameratibu. Hivi imekuwaje kwamba hakukua na notes Review? za Waongeaji? Kweli? Naungana na wengine hapa waliouliza....Alibarikiwa?, na nani? CHADEMA watasema Zitto alisema hawasemei, kwamba alikuwa hawariprizenti Vyama vingine? Hawajashangazwa. Serikali haijashangazwa Mimi na kama baadhi ya watu wameshangazwa. Aisee, zimetumika/zinatumika fedha nyingi na Wazungu.Au?
 
Kauli ya ZZK ni DIRA yetu, inabeba maudhui mazito sana kwa Taifa letu kwenye kipindi hiki, kwa hiyo haiwezi okabadilishwa.

Magufuli alikuwa kama Nebuchadnezzar wa kwenye Biblia, ALINAJISI vitendea kazi vya Ikulu kwa kuvutumia HOVYO. Kutofuata Katiba, kuliendesha Bunge lwa remote na kuotishia Mahakama ni vitendo viovu sana katika historia ya nchi yetu. Namna alivyoitumia TISS kwa ajili ya masilahi yake binafsi na kuunda kikundi haramu cha WASIOJULIKANA lazima kikemewe kisijejirudia tena kwenye nchi yetu.

Nashauri ZZK aongeze kupaza sauti ili hata watanzania wajinga wapatao 89%ya population waelewe kuwa Magu hakuwa mtu sahihi kutawala nchi yetu
Vipi umeshafika rondo kuzika jitu lenu?
 
Hakuna Mtanzania anayekubali haya matusi yako ya jumla jumla....Wewe sio Mtanzania.Haiwezekani ukawatukana ati kwasababu Sisi Watanzani ndie tulie mchagua, halafu hapohapo ututukane tena kuwa hatukuchagua mtu sahihi kwaajili ya nani?

Wazungu mna matatizo sana.

Ni Hayati John Pombe Magufuli. Tambua hilo.
Tanzania ina wajinga wengi na wewe ni mmoja wapo.
 
Wafilisti wahiti wayebusi, walikuwa wanawekwa kwenye target na shetani ili waisrael wawaue?
Ushaambiwa hao walikuwa ni waanaki na wanefili, hakukuwepo na binadamu kamili hapo walipaswa kuondoshwa
 
Back
Top Bottom