Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AkibaKauli ya ZZK ni DIRA yetu, inabeba maudhui mazito sana kwa Taifa letu kwenye kipindi hiki, kwa hiyo haiwezi okabadilishwa.
Usingizi kwa wezi na majambazi ya CCM, ilitumika na dikteta Magufuli kuua, kuteka, kupora pesa na kuwalinda wapumbavu kama Musiba, Sabaya na MakondaTISS ni takataka inayokuwezesha wewe kupata usingizi na kuamka salama na kwenda kijiweni kupiga soga bila kuporwa wala tishio la usalama.
Ni taasisi yetu lazima tuienzi na kuisitiri sambamba na kuiboresha penye mapungufu
Kweli MUNGU ni mwema ndio maana akatuondolea shetani MagufuliMungu siku zote ni mwema sana.
Shetani ndo hupambania kuua watu
Ntakutusi muda sio mrefuTISS ni takataka inayokuwezesha wewe kupata usingizi na kuamka salama na kwenda kijiweni kupiga soga bila kuporwa wala tishio la usalama.
Ni taasisi yetu lazima tuienzi na kuisitiri sambamba na kuiboresha penye mapungufu
Hakuna Mtanzania anayekubali haya matusi yako ya jumla jumla....Wewe sio Mtanzania.Haiwezekani ukawatukana ati kwasababu Sisi Watanzani ndie tulie mchagua, halafu hapohapo ututukane tena kuwa hatukuchagua mtu sahihi kwaajili ya nani?Nashauri ZZK aongeze kupaza sauti ili hata watanzania wajinga wapatao 89%ya population waelewe kuwa Magu hakuwa mtu sahihi kutawala nchi yetu
Ukabila hutasikiwa watu wa kanda Fulani wanatukanwa maana ndo wapo hukuUsingizi kwa wezi na majambazi ya CCM, ilitumika na dikteta Magufuli kuua, kuteka, kupora pesa na kuwalinda wapumbavu kama Musiba, Sabaya na Makonda
Tafuta muda wako mzuri kisha soma Makala zote za Dr. Noordin Jella ambazo ameandika kuhusiana na hicho kitu unachokipigia debe hapa.TISS ni takataka inayokuwezesha wewe kupata usingizi na kuamka salama na kwenda kijiweni kupiga soga bila kuporwa wala tishio la usalama.
Ni taasisi yetu lazima tuienzi na kuisitiri sambamba na kuiboresha penye mapungufu
Jana katika ibada ya kumuaga mpendwa wetu Bernard Kamilius Membe pale Karimjee, watu mbakimbali walipata fursa ya kutoa maneno ya rambirambi kwa familia na jamaa wa Marehemu Membe.
Kiongozi wa ACT Wazalendo alipata fursa ya kutoa rambirambi zake. Lakini ndani ya content aliyoisoma pale aliituhumu idara kuhusika nankuruhusu rasilimali zake kutumika kumchafua Membe na watu wengine.
Kauli hii, inazua sintofahamu ya ujasiri na kusudio la Zitto dhidi ya TISS. Ikumbukwe kwamba kuidhalilisha hadharani TISS ni kuidhalilisha nchi. Na bahati mbaya hawa jamaa huwa hawana msemaji wa kujibu hoja za kisiasa wanazotuhumiwa nao.
Mzee Makamba alimnanga Magufuli kwa kusema Wazuri hawafi mapema na aliposimama Capo akamrekebisha kuwa mzee aliteleza ulimi. Lakini jana mbele ya CIC zimetolewa tuhuma nzito dhidi ya taasisi nyeti nchini na hakuna kanusho wala rekebisho dhidi ya udhalilishaji huo.
Mtu kama Zitto siyo asset wa kuaminiwa kwenye nafasi yeyote nchini kwa sababu anaonesha wazi hana mahaba na Nchi yetu
Siyo TUHUMA BALI NI UKWELI MTUPU 100% tena mengine kayasahau.Jana katika ibada ya kumuaga mpendwa wetu Bernard Kamilius Membe pale Karimjee, watu mbakimbali walipata fursa ya kutoa maneno ya rambirambi kwa familia na jamaa wa Marehemu Membe.
Kiongozi wa ACT Wazalendo alipata fursa ya kutoa rambirambi zake. Lakini ndani ya content aliyoisoma pale aliituhumu idara kuhusika nankuruhusu rasilimali zake kutumika kumchafua Membe na watu wengine.
Kauli hii, inazua sintofahamu ya ujasiri na kusudio la Zitto dhidi ya TISS. Ikumbukwe kwamba kuidhalilisha hadharani TISS ni kuidhalilisha nchi. Na bahati mbaya hawa jamaa huwa hawana msemaji wa kujibu hoja za kisiasa wanazotuhumiwa nao.
Mzee Makamba alimnanga Magufuli kwa kusema Wazuri hawafi mapema na aliposimama Capo akamrekebisha kuwa mzee aliteleza ulimi. Lakini jana mbele ya CIC zimetolewa tuhuma nzito dhidi ya taasisi nyeti nchini na hakuna kanusho wala rekebisho dhidi ya udhalilishaji huo.
Mtu kama Zitto siyo asset wa kuaminiwa kwenye nafasi yeyote nchini kwa sababu anaonesha wazi hana mahaba na Nchi yetu
Wewe ni mjinga masalia ya MagufuriHata usoni anaonesha wazi kuwa anakerwa na utulivu na amani yetu.
Vipi umeshafika rondo kuzika jitu lenu?Kauli ya ZZK ni DIRA yetu, inabeba maudhui mazito sana kwa Taifa letu kwenye kipindi hiki, kwa hiyo haiwezi okabadilishwa.
Magufuli alikuwa kama Nebuchadnezzar wa kwenye Biblia, ALINAJISI vitendea kazi vya Ikulu kwa kuvutumia HOVYO. Kutofuata Katiba, kuliendesha Bunge lwa remote na kuotishia Mahakama ni vitendo viovu sana katika historia ya nchi yetu. Namna alivyoitumia TISS kwa ajili ya masilahi yake binafsi na kuunda kikundi haramu cha WASIOJULIKANA lazima kikemewe kisijejirudia tena kwenye nchi yetu.
Nashauri ZZK aongeze kupaza sauti ili hata watanzania wajinga wapatao 89%ya population waelewe kuwa Magu hakuwa mtu sahihi kutawala nchi yetu
Tanzania ina wajinga wengi na wewe ni mmoja wapo.Hakuna Mtanzania anayekubali haya matusi yako ya jumla jumla....Wewe sio Mtanzania.Haiwezekani ukawatukana ati kwasababu Sisi Watanzani ndie tulie mchagua, halafu hapohapo ututukane tena kuwa hatukuchagua mtu sahihi kwaajili ya nani?
Wazungu mna matatizo sana.
Ni Hayati John Pombe Magufuli. Tambua hilo.
Wafilisti wahiti wayebusi, walikuwa wanawekwa kwenye target na shetani ili waisrael wawaue?Mungu siku zote ni mwema sana.
Shetani ndo hupambania kuua watu
Duh mchana mwema mkuuUshaambiwa hao walikuwa ni waanaki na wanefili, hakukuwepo na binadamu kamili hapo walipaswa kuondoshwa