Kama na wewe unakerwa na nyuzi za "TUKUTANE HAPA" basi tukutane hapa

Hahaa ...
 
Cha ajabu wakati wengine wanaanzisha nyuzi kulegeza wadada, nyuzi taamu, sisi tunalegea na kulainika halafu tunaenda kukazwa na ambao hata huo muda hawana.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Labda umaarufu!!
life is not fair
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…