Kama na wewe unakerwa na nyuzi za "TUKUTANE HAPA" basi tukutane hapa

Kama na wewe unakerwa na nyuzi za "TUKUTANE HAPA" basi tukutane hapa

hurrem_sultana

Senior Member
Joined
Sep 6, 2018
Posts
136
Reaction score
361
Kumekua na katabia ka kuanzisha nyuzi za kitoto za tukutane hapa zinakera sana.
Mtu frm no where anakuja na uzi kama umewahi kula chakula basi tukutane hapa[emoji23] [emoji23] seriously?? kama umewahi kufanya ngono tukutane hapa n.k
Yani mambo mengine yanatia hasira tu
 
Kumekua na katabia ka kuanzisha nyuzi za kitoto za tukutane hapa zinakera sana.
Mtu frm no where anakuja na uzi kama umewahi kula chakula basi tukutane hapa[emoji23] [emoji23] seriously?? kama umewahi kufanya ngono tukutane hapa n.k
Yani mambo mengine yanatia hasira tu
Sisi ambao hatutaki kukutana hapa, tukakutane wapi?
 
Kuna watu wanaumwa ugonjwa wa kuanzisha thread!
Yaan anatamani tu kila mara aandike!
Wapo wengi sana ila wana matarajio tofauti!
Umaarufu wa Jf
Mademu wa JF
Like za Jf nk nk
Sie wengine tupo kwa ajili ya kucoment na kulike na mara moja moja vijiuzi vya kawaida kawaida ila tupo tu.

Wale wazee wa KUCOMENT NA KULIKE TUKUTANE HAPA
 
Kuna watu wanaumwa ugonjwa wa kuanzisha thread!
Yaan anatamani tu kila mara aandike!
Wapo wengi sana ila wana matarajio tofauti!
Umaarufu wa Jf
Mademu wa JF
Like za Jf nk nk
Sie wengine tupo kwa ajili ya kucoment na kulike na mara moja moja vijiuzi vya kawaida kawaida ila tupo tu.

Wale wazee wa KUCOMENT NA KULIKE TUKUTANE HAPA
Cha ajabu wakati wengine wanaanzisha nyuzi kulegeza wadada, nyuzi taamu, sisi tunalegea na kulainika halafu tunaenda kukazwa na ambao hata huo muda hawana.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Labda umaarufu!!
 
Cha ajabu wakati wengine wanaanzisha nyuzi kulegeza wadada, nyuzi taamu, sisi tunalegea na kulainika halafu tunaenda kukazwa na ambao hata huo muda hawana.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Labda umaarufu!!
Cute B umetisha aseee!!
Mkilegezwa JF mnashughulikiwa kwingine Daaah
Umenipunguzia machungu yangu ya leo maana sio kwa cheko hili
 
Cute B umetisha aseee!!
Mkilegezwa JF mnashughulikiwa kwingine Daaah
Umenipunguzia machungu yangu ya leo maana sio kwa cheko hili
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ni kweli. Nyuzi zao tunazisoma tunalowa,..halafu tunaenda kukaushwa pengine mkuu.[emoji23][emoji23] maisha kusaidiana washike mapembe ng'ombe akamuliwe.
 
Kuna watu wanaumwa ugonjwa wa kuanzisha thread!
Yaan anatamani tu kila mara aandike!
Wapo wengi sana ila wana matarajio tofauti!
Umaarufu wa Jf
Mademu wa JF
Like za Jf nk nk
Sie wengine tupo kwa ajili ya kucoment na kulike na mara moja moja vijiuzi vya kawaida kawaida ila tupo tu.

Wale wazee wa KUCOMENT NA KULIKE TUKUTANE HAPA
Nakazia
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ni kweli. Nyuzi zao tunazisoma tunalowa,..halafu tunaenda kukaushwa pengine mkuu.[emoji23][emoji23] maisha kusaidiana washike mapembe ng'ombe akamuliwe.
Gihiiiiiii..... Nipo kufika[emoji23]
 
Tunaotumia jf kwa free basics tunakutana wapi? Au tuchanganyike humuhumu tu?
 
Back
Top Bottom